Tanzania kuna Tatizo kubwa kwenye mfumo wa pesa hususani huko BOT ndiyo maana Nchi jirani zinawashawishi wawekezaji wengi wahamie huko ambapo hawana usumbufu kwa wawekezajiWakuu,
Nimesoma hii habari kwa masikitiko. Kama ni ya kweli, ni kweli tumedhamiria kuwa na wawekezaji wa kigeni Tanzania au ni maigizo tu?
Maamuzi haya yanaathiri sana FDIs kwa nchi yetu na tunawapa nafasi majirani kutupiga bao.
Hebu soma mwenyewe: Mizengwe: Bilioni 425 za Mwekezaji zazuiliwa Tanzania, Kenya yamshawishi ahamie kwao
Usumbufu tena miaka mitano tena ya usumbufu kwa wawekezajiMitano tena
Hongera mdau ila usinisahau mdogo wako nikawe hata msimamizi tu wa izo biashara...bongo nyoso balaa mbele hatuoni kabisa tunapokwenda sie tusio na ajiraHata mimi nilipata wawekezaji walikuwa interested kuwekeza Tz toka hapa Russia,ila waliambiwa na "intelijensia" yao waliopo huko Tz kwamba wasubiri kwanza,maana GoT ya awamu hii haileweki.
Kuna tatizo kubwa sana huko Tanzania.
Nafikiria pia kuhamisha biashara zangu ambazo zinahamishika toka huko Tz kwenda Comoro au Ushelisheli.
Umesoma ukaelewa,au kwa kuwa umeshajijengea idea ya kupinga kila kitu basi wewe ukiingia juukwaa la siasa ni kupinga tu?Watuvumilie, zimeingizwa kwenye standard geji
Duuh kama ni hivo basi hali ni tete kuliko maelezo.Hata mimi nilipata wawekezaji walikuwa interested kuwekeza Tz toka hapa Russia,ila waliambiwa na "intelijensia" yao waliopo huko Tz kwamba wasubiri kwanza,maana GoT ya awamu hii haileweki.
Kuna tatizo kubwa sana huko Tanzania.
Nafikiria pia kuhamisha biashara zangu ambazo zinahamishika toka huko Tz kwenda Comoro au Ushelisheli.
Basi ni Bora TIC ihamishiwe ofisi ya Rais. Hili litafanya watu wenye nia ya kuwekeza wasaidiwe mapema zaidi.Wakuu,
Nimesoma hii habari kwa masikitiko. Kama ni ya kweli, ni kweli tumedhamiria kuwa na wawekezaji wa kigeni Tanzania au ni maigizo tu?
Maamuzi haya yanaathiri sana FDIs kwa nchi yetu na tunawapa nafasi majirani kutupiga bao.
Hebu soma mwenyewe: Mizengwe: Bilioni 425 za Mwekezaji zazuiliwa Tanzania, Kenya yamshawishi ahamie kwao
Bora maisha yale kwani sasa maisha ni magumu zaidi hata watumishi wa umma hawana nyongeza za mishaharaMliichezea sana nchi kwa mwavuli wa uwekezaji, jiandaeni kuishi kama mashetani, na mwaka huu sio wa raha !