Tetesi: Tsh Bilioni 425 za Mwekezaji zadaiwa kuzuiliwa Tanzania, Kenya yamshawishi ahamie kwao

Tetesi: Tsh Bilioni 425 za Mwekezaji zadaiwa kuzuiliwa Tanzania, Kenya yamshawishi ahamie kwao

Tanzania kuna Tatizo kubwa kwenye mfumo wa pesa hususani huko BOT ndiyo maana Nchi jirani zinawashawishi wawekezaji wengi wahamie huko ambapo hawana usumbufu kwa wawekezaji
BOT, mtawalaumu bure tu kwani hawawezi kujiamulia tu, kufanya hujuma hizo pasipo kuwa na mkono wa jiwe!! Yaani watendaji wana wakati mgumu sana, chanzo ni jamaa ila lawama unapewa wewe mtendaji kuwa ndio tatizo, na jamaa akiona hali imekuwa mbaya ili achukue ujiko, anakupiga chini wewe!!! Uonekane ndio kikwazo!! Tofauti na wazungu ndio maana unaona kwenye utawala wa trump, ni viongozi wengi wa juu walikuwa wanajiuzuru kule hawana njaa!! Ila hapa kwetu bora fedheha kuliko njaa
 
Umesoma au umeadithiwa kijiweni na baa,ushafika hata mipakani na kujua kiasi cha pesa au unazani pesa unabeba tu kama nguo za kwenda kugawa sikukuu.
Maada za kahawa mbaya
Wewe ndiyo mjinga unashinda ukivuta Bangi kuja na mawazo ya kipumbavu kuwapora watu pesa zao kwa visingizio haramu vya kishamba na kishetani mnajiona wajanja wakati mnalichafua Taifa, kisa unasaka uteuzi umeanza kujitoa fahamu zote kutetea ushetani wa CCM
 
Hayo ni majibu ya kihuni toka vijiweni. Uwekezaji unahitaji mazingira rafiki na diplomasia ya Hali ya juu!
Muwekezaji pia anatakiwa kufuata taratibu za nchi sio afanye atakavyo yeye eti kwa kitisho cha kuondoka
 
Mfanya biashara Ramadhani Ntunzwe aliongea hadharani mbele ya wenye nchi lakini bado analia na kusaga meno.
Nchi hii sasa siyo ya wananchi wote imesalia kuwa ya wachache tu wenye kuamua kuwatesa wafanyabiashara watakavyo
 
Muwekezaji pia anatakiwa kufuata taratibu za nchi sio afanye atakavyo yeye eti kwa kitisho cha kuondoka
Utaratibu upi? nani kakuambia huwa hawafuati utaratibu? Wafanyabiashara wawekezaji hufuata taratibu zote ikiwemo kuvumilia usumbufu kuombwa Rushwa manyanyaso yote, lakini CCM hawaliziki huendelea kuwasumbua na hasa ikitokea mwekezaji anafanya biashara sawa na biashara ya kiongozi fulani au ndugu wa hiyo kiongozi ndipo mizengwe figisu figisu za kumdhoofisha huanza ikiwemo kubambikiwa kodi kubwa na TRA na BOT kuwapora pesa zao na manyanyaso mengineyo kibao
 
Tanzania sasa kuna wimbi la kuwafungia wafanyabiashara A/C hovyo hovyo kisha kuwatishia kesi za uhujumu uchumi ( blackmail) wapo wajanja wachache hutumia jina la mtukufu kuwatesa wafanyabiashara kuwabambikia kodi kubwa na uonevu mwingineo kibao, magufuli itisha mkutano wa wafanyabiashara wakubwa na wa kati wanaruhusu watoe kero zao utashangaa kusikia unyanyasaji uonevu wanaofanyiwa kimya kimya
Watuache tena watukome. Tusipozuia tutajengea nini SGR?
 
Mfumo wa uwekezaji Tanzania ni wa hovyo na BOT kuna Tatizo yafaa kote huko kufumuliwe watumishi wote wachunguzwe mali zao vipato vyao vichunguzwe mmoja mmoja kubaini wale wote walioshiriki kukwamisha uwekezaji Tanzania, kinyume na hapo hizo kero hazitakwisha na wawekezaji wataendelea kunyanyaswa zaidi na zaidi.
 
Watuache tena watukome. Tusipozuia tutajengea nini SGR?
Pesa za SGR ipo kwenye bajeti tayari ingawa napo kuna ufisadi mkubwa ambao utafumuka baadae baada ya ujenzi kukamilika, waache kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kwa visingizio vya SGR
 
Utaratibu upi? nani kakuambia huwa hawafuati utaratibu? Wafanyabiashara wawekezaji hufuata taratibu zote ikiwemo kuvumilia usumbufu kuombwa Rushwa manyanyaso yote, lakini CCM hawaliziki huendelea kuwasumbua na hasa ikitokea mwekezaji anafanya biashara sawa na biashara ya kiongozi fulani au ndugu wa hiyo kiongozi ndipo mizengwe figisu figisu za kumdhoofisha huanza ikiwemo kubambikiwa kodi kubwa na TRA na BOT kuwapora pesa zao na manyanyaso mengineyo kibao
Basi washauri wakawekeze somalia au soudani kusini hakuna tabu hizo ulizoandika
 
Tanzania sasa kuna wimbi la kuwafungia wafanyabiashara A/C hovyo hovyo kisha kuwatishia kesi za uhujumu uchumi ( blackmail) wapo wajanja wachache hutumia jina la mtukufu kuwatesa wafanyabiashara kuwabambikia kodi kubwa na uonevu mwingineo kibao, magufuli itisha mkutano wa wafanyabiashara wakubwa na wa kati wanaruhusu watoe kero zao utashangaa kusikia unyanyasaji uonevu wanaofanyiwa kimya kimya
Aitishe mkutanooo ? wakati yeye ndio anawatuma unamjua unamsikia ?
 
Hii story kwanini itoke leo,kwanini hatukuisikia kipindi Cha uchaguzi?
Biashara zimeanza kufungwa,na hili linaibuka?kwanini leo?na sio Jana?au ni mwendo wa kuchafuana tu
Wewe hamtaki mtu awekeze dunia kubwa rudisheni hela zake acheni wizi .
 
Sas miaka miwili umeshokilia hela ya mtu angeweka fixed dipost si angezalisha mtonyo wa maana. Bora waende Kenya ndo watajifunza kitu. Mtu hela yake alafu imtese kuwekeza. Daah Kikwete alituletea Balaa mtu huyu
Jizi la matilioni limezipiga .
 
Kenya inaruhusu pesa zote na inaizidi Tanzania kiuchumi licha ya Tanzania kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, kuzuia pesa kuja Tanzania ni ujinga ndiyo maana uchumi unadorola mno, pesa za kigeni zikija nyingi wenye hizo pesa hujenga Nchi huwekeza huongeza sekta za ajila na maendeleo mengi
Hiki kitu unachokisema mshamba na Limbukeni hakielewi kabisa .
 
habari y kuibiwa kura kwenye uchaguzi imekosa mvuto sasa mnahamia huku, huyo mwekezaji mwambie ahame hata kesho maana sio lazima kila mwekezaji awekeze tanzania tu hata somalia na sudani kusini wanahitaji wawekezaji, mwambie akaangalie fursa huko pia pia, tanzania ilikuwepo, ipo n itaendelea kuwepo.
Rudisheni hela zake nyinyi majizi ya kijani kibichi .
 
Kuna mzungu mmoja aliwekeza milions of dollars kule kigoma kwenyemradi wa solarpannel kwa ajili ya kuiuzia umeme tanesco yaliotokea yanafurahisha
Mkuu hebu tupe in detail vituko vya jizi la matilioni .
 
Mfumo wa uwekezaji Tanzania ni wa hovyo na BOT kuna Tatizo yafaa kote huko kufumuliwe watumishi wote wachunguzwe mali zao vipato vyao vichunguzwe mmoja mmoja kubaini wale wote walioshiriki kukwamisha uwekezaji Tanzania, kinyume na hapo hizo kero hazitakwisha na wawekezaji wataendelea kunyanyaswa zaidi na zaidi.
Hapana tatizo ni mshamba na Limbukeni ndio chanzo Cha yote .
 
Tanzania kuna Tatizo kubwa kwenye mfumo wa pesa hususani huko BOT ndiyo maana Nchi jirani zinawashawishi wawekezaji wengi wahamie huko ambapo hawana usumbufu kwa wawekezaji
Hilo tatizo la pesa ni la uharali au la unyang'au? Mpaka sasa kuna watu wanataka kui ibia tanzania? Kwa sasa tunataka wawekezaji harari wenye mitaji na wanaotaka kulipa kodi na si vinginevyo.
Hatuhitaji watu wa kutufirisi, kama kuna mtanzajia anawataka wapeleke kwake au kwenye chama chake. Tunataka nchi yetu nayo iwe na heshima pia ijitegemee kulingana na rasirimali tulizopewa na mungu.
 
Mkuu hebu tupe in detail vituko vya jizi la matilioni .
Alipunguza bei ya umeme ikawa chini kisha akazurumiwa au nae alikuja kutu umiza na mabei ya kishetani?
Kama alikuja kuchuma lazima atimke lakinai kama alikuja kushirikiana na maendeleo ya nchi lazima ataendelea kuwapo
 
Back
Top Bottom