Tsh milioni 30 zinaweza kunifikisha wapi?

kikaniki

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
508
Reaction score
968
Wadau..ninajenga nyumba mkoani Morogoro ina vipimo vya urefu ni 15 na upana ni 12. Ni nyumba ya vyumba 3 vya kulala (viwili kati ya hivyo ni self contained), kimoja cha kawaida na sitting na dinning.

Mpaka sasa nimeinua boma hadi kozi ya 10 na mfukoni nina milioni 30. Je, pesa hizi nilizonazo zinaweza kunifikisha wapi?

Naombeni mchanganuo wa kila hatua iliyobaki.
 
Kwa ukubwa huo wa nyumba budget mara nyingi hua ni mil 40 au 50 mpaka nyumba ikamilike,inategemea na finishing yako,kwa hiyo pesa unamaliza kila kitu na unahamia ondoa wasi wasi.
 
Unataka kutuambia aliekuchorea ramani hakukupa cost estimation; au unajifariji tu
Sio kila mchora ramani ni Mtaalamu Wa kukadiria.

Na mimi nimeileta hoja yangu hapa kwa kuwa najua kuna watu wenye experience na mambo ya ujenzi, hata kama hawajaingia shule
 
Sio kila mchora ramani ni Mtaalamu Wa kukadiria.

Na mimi nimeileta hoja yangu hapa kwa kuwa najua kuna watu wenye experience na mambo ya ujenzi, hata kama hawajaingia shule
weka raman ili tukupe estimation kwa kuangalia raman husika
 
Kwa ukubwa huo wa nyumba budget mara nyingi hua ni mil 40 au 50 mpaka nyumba ikamilike,inategemea na finishing yako,kwa hiyo pesa unamaliza kila kitu na unahamia ondoa wasi wasi.
Asante sana!! Umenipa nguvu
 
Kwa Morogoro kwa pesa hiyo,imeisha hiyooooooooooo,tena na finishing ambayo sio mbaya sana wala ya gharama sana,tafuta mafundi wawili watatu fananisha bei zao na uzoefu wao wa kazi ingia mzigoni,hakikisha unasimamia mwenyewe huo ujenzi,ukitaka usaidizi nakupa fundi mzuri sana,utanikumbuka
 
Kwanza hongera kwa hatua kubwa,

UVIMO tunapatikana morogoro mjini,
Tunatoa huduma zote kuanzia ramani hadi funguo mkononi tunakukabidhi.

Raman
Kujenga
Kupaua
Tiles
Umeme
Bomba
Rangi
Milango
Magril
Urembo n.k

Pesa hyo itakukimbizia kazi yako,

Tungeweza kukufanyia tathimini lakini tatizo kubwa hapa mikato ya nyumba haiitambuliki.

Kama hutojari, tuwasiliane ili kazi yako iende kitaalam na kwa bei nafuu.

Wasiana na watoa huduma wetu

0629361896
0753927572 - What'sAppView attachment 2000921View attachment 2000920View attachment 2000925View attachment 2000922View attachment 2000923View attachment 2000924
 
Itakamilisha hadi baadhi ya furniture utapata
 
Uvimo Maktaba

Je, nje ya gharama ya vifaa vya kupandisha boma, kuna gharama nyingine isiyo onekana na usiyo weza kuitambua?

Kila anaye nuia kujenga daima hufikilia kuhusu gharama za ujenzi.

Wengi hawajiulizi kuhusu gharama zilizo jificha zitokanazo na ufundi na bila msimamizi mtaalam basi hujikuta katika gharama na usumbufu juu.

Nov -10 2021 Uvimo maktaba itakuwa hewani kwa mada hiyo katka group Uvimo Public Center tu, ili kukutambulisha sababu hizi ili ujenge kwa kupunguza gharama kiasi fulani.

Kumbuka, [emoji1427]
Katika ujenzi, kila shilingi ina maana sana na hupashwi kuidharau, hakikisha una ipa thamani yake inayo stahili.

0629361896
0753927572 - WhatsApp
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla:-
2*2 fut12=2500
2*3 fut 12=3500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=14000
1*10fut 12 fisher board( treated)=15000
2*4 fut18(treated)=10000
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…