Tshabalala anashida moja mzuri kuattack likija suala la kujilinda ni uchochoro. Akicheza na winga sio wa kurudi kuja kumsaidia tutaumia sana mechi za CAF
Quattara mzuri wanasimba wasiwe na shaka naye ajirekebishe tu kwenye pace ni mzito fulani Goli la Jana na KOTOKO walitegeana yeye na INONGA. Wawasiliane sana wanapodefence.
DEJAN sio mzuri hata kidogo. Yule mzungu yupo ISOLATED sana SIMBA inapocheza. Hili waliangalie kwa mapama....bila chama SIMBA haitembeiii kabisa
Quattara mzuri wanasimba wasiwe na shaka naye ajirekebishe tu kwenye pace ni mzito fulani Goli la Jana na KOTOKO walitegeana yeye na INONGA. Wawasiliane sana wanapodefence.
DEJAN sio mzuri hata kidogo. Yule mzungu yupo ISOLATED sana SIMBA inapocheza. Hili waliangalie kwa mapama....bila chama SIMBA haitembeiii kabisa