Tshabalala abadilike, Simba mlijue hili mapema

Tshabalala abadilike, Simba mlijue hili mapema

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Tshabalala anashida moja mzuri kuattack likija suala la kujilinda ni uchochoro. Akicheza na winga sio wa kurudi kuja kumsaidia tutaumia sana mechi za CAF

Quattara mzuri wanasimba wasiwe na shaka naye ajirekebishe tu kwenye pace ni mzito fulani Goli la Jana na KOTOKO walitegeana yeye na INONGA. Wawasiliane sana wanapodefence.

DEJAN sio mzuri hata kidogo. Yule mzungu yupo ISOLATED sana SIMBA inapocheza. Hili waliangalie kwa mapama....bila chama SIMBA haitembeiii kabisa
 
Mzungu ni mzigo sema kama mashabiki wa simba tunakaza fuvu tu, ila viongozi wanazingua sana kukaa na huo mzigo
 
Ngoja wenye timu yao waje kukufokea!

Wao siku zote ni kufoka tu, hata ukitoa ushauri wenye maudhui ya kujenga.
 
Kwenye simba bila chama umeua sana.

Mistake ya zimbwe can happen to anyone.
 
Kwenye simba bila chama umeua sana.

Mistake ya zimbwe can happen to anyone.
Kwenye simba bila chama umeua sana.

Mistake ya zimbwe can happen to anyone.
Nakubaliana na wewe lakini hivi karibuni amekuwa akivuja sana ukabaji wake. Ili sasa afanye vzr inabd awe na mtu wa kucover iwapo akipandisha mashambulizi. Someone to track back. Sakho harudi kuja kumsaidia muda wote kipindi cha HD angalau huwa anarudi kucover nafasi ya zimbwe akienda kushambulia. Lakini pia SImba ya Quattara na Inonga tutegemee kufungwa sana labda wabadilike namna ya kukaba inaoneakna inonga akipanda kidogo na quattara naye anapanda. Inabdi wawasiliane sana
 
Ngoja wenye timu yao waje kukufokea!

Wao siku zote ni kufoka tu, hata ukitoa ushauri wenye maudhui ya kujenga.
Umedelete msg ya mwanzo? Naona ulini tag mkuu maan kwenye notification naona wananiambia Tate Mkuu mentioned you sasa mbona sioni uliponimention au umeogopa ntakufokea?? Hahahah wala ni ushauri mzuri tuu hapo kwa mzungu atuachie mzungu wetu.
 
Makosa ya Zimbwe yanatokana na kujiamini kupita kiasi.
Yule dogo mganda anamjua toka timu ya Under 17 kwamba ni mkali na katufunga na timu ya under 17, 20, na juzi.
Mshambuliaji anakuja kwa kasi yeye anafanya madoido yake hadi akaporwa mpira kilahisi kabisa na kwenda kufunga.

Angeweza kuutoa nje au kuupiga mbele, yeye anacheza danadana, kijana kaupitia mpira kama Tai mwenye njaa kaweka kamba.

Goli zuri sana.
Ni kwamba Uganda kisoka bado hatuwawezi kabisa.
 
Tshabalala anashida moja mzuri kuattack likija suala la kujilinda ni uchochoro. Akicheza na winga sio wa kurudi kuja kumsaidia tutaumia sana mechi za CAF

Quattara mzuri wanasimba wasiwe na shaka naye ajirekebishe tu kwenye pace ni mzito fulani Goli la Jana na KOTOKO walitegeana yeye na INONGA. Wawasiliane sana wanapodefence.

DEJAN sio mzuri hata kidogo. Yule mzungu yupo ISOLATED sana SIMBA inapocheza. Hili waliangalie kwa mapama....bila chama SIMBA haitembeiii kabisa
Tangu amelazimishwa na ilove you wake kwenda kutumbua vimishahà vyake huko DUBAI sasa hivi anajiona ni wa kimataifa sana!!! na ndicho kilichomponza , angejiweka kwenye kundi linalomstahili asingefanya ujinga huo yawezekana kioo kinamdanganya. Akijiangalia kwenye kioo anajiona mkubwa kuliko uhalisia
 
Nakubaliana na wewe lakini hivi karibuni amekuwa akivuja sana ukabaji wake. Ili sasa afanye vzr inabd awe na mtu wa kucover iwapo akipandisha mashambulizi. Someone to track back. Sakho harudi kuja kumsaidia muda wote kipindi cha HD angalau huwa anarudi kucover nafasi ya zimbwe akienda kushambulia. Lakini pia SImba ya Quattara na Inonga tutegemee kufungwa sana labda wabadilike namna ya kukaba inaoneakna inonga akipanda kidogo na quattara naye anapanda. Inabdi wawasiliane sana
Pengo la onyango haliwezi zibika
 
Makosa ya Zimbwe yanatokana na kujiamini kupita kiasi.
Yule dogo mganda anamjua toka timu ya Under 17 kwamba ni mkali na katufunga na timu ya under 17, 20, na juzi.
Mshambuliaji anakuja kwa kasi yeye anafanya madoido yake hadi akaporwa mpira kilahisi kabisa na kwenda kufunga.

Angeweza kuutoa nje au kuupiga mbele, yeye anacheza danadana, kijana kaupitia mpira kama Tai mwenye njaa kaweka kamba.

Goli zuri sana.
Ni kwamba Uganda kisoka bado hatuwawezi kabisa.
Uganda national timu hatuwawezi ila kwenye vilabu mabwege tu
 
Nakubaliana na wewe lakini hivi karibuni amekuwa akivuja sana ukabaji wake. Ili sasa afanye vzr inabd awe na mtu wa kucover iwapo akipandisha mashambulizi. Someone to track back. Sakho harudi kuja kumsaidia muda wote kipindi cha HD angalau huwa anarudi kucover nafasi ya zimbwe akienda kushambulia. Lakini pia SImba ya Quattara na Inonga tutegemee kufungwa sana labda wabadilike namna ya kukaba inaoneakna inonga akipanda kidogo na quattara naye anapanda. Inabdi wawasiliane sana
Mkuu umeeleza vizuri sana. Ahsante.
 
Ndio maana aziz ki anajipigia matobo tu amekuwa uchochoro na kasababisha mzee wa watu kibarua kiote nyasi
 
Back
Top Bottom