Tshabalala abadilike, Simba mlijue hili mapema

Acha wivu wa kike,Shabalala linapokuja swala la kukaba ni uchochoro na sio msimu huu tuu
 
Upo sahihi sana,ila usisahau kama taifa hatuna namba sita wa maana na hata simba ndio shida ilipo.Huwezi mtegemea mkude,mzamiru,kapama,na Akpan utegemee usifungwe
 
Tujikumbushe na hii. Huo uchochoro
 

Attachments

  • 5050522-301f623a4d04d3a043600aa245fbe55a.mov
    1.2 MB
Inaonekana safari yake ya Dubai imekuuma sana. Tutafute pesa ndugu yangu acha makasiriko.
 
Ngoja wenye timu yao waje kukufokea!

Wao siku zote ni kufoka tu, hata ukitoa ushauri wenye maudhui ya kujenga.
Huo ushauri ungeanza kwa utopolo yako kwanza, inayopigwaga nje ndani CAFCL. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua soka dogo???au ndo umeanza kushabiki leo??!!...
 
Uganda national timu hatuwawezi ila kwenye vilabu mabwege tu
Kwenye vilabu sisi tunategemea wachezaji wa nje.
Kwa wachezaji wa ndani sisi ni mabwege tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wacha wivu dada na wewe mwambie mumeo akupeleke Dubai. Mtu katumia hela yake kwenda kutalii na mkewe wewe unaumia kwa nini?
 
Point nzuri. Ila ukumbuke mpira Una mda wake.

Huenda Sasa ni wakatii wa zimbwe kupumzika.na kucheza game nyepesi..

Kiwango chake kimeshuka. Nafikiri hata kapombe misimu miwili ijayo atakuwa siyo huyu tunayemwona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…