Tshabalala ana ukaribu na mapenzi makubwa na watu wa Yanga

Tshabalala ana ukaribu na mapenzi makubwa na watu wa Yanga

Hujui MPIRA Hujui Fair pray.

Ukiwa MKRISTO Haimaanishi uwachukie WAISLAMU.

Ukiwa mfupi Haimaanishi uwachukie warefu.

ACHA USHAMBA NA MPIRA WA KIZAMANI DOGO.

FICHA UJINGA
 
Hujui MPIRA Hujui Fair pray.

Ukiwa MKRISTO Haimaanishi uwachukie WAISLAMU.

Ukiwa mfupi Haimaanishi uwachukie warefu.

ACHA USHAMBA NA MPIRA WA KIZAMANI DOGO.

FICHA UJINGA
Nahesabu mashabiki Wenye akili ninaoweza kuargue nao.
Wewe 1.
Naendelea.....
 
Nimemuona Tshabalala kwenye mechi ya Team Kibwana vs Team Job ingawa wapo baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwemo Israel Mwenda na Mzamiru Yassin.

Hata hivyo nimeona pia kwenye page ya engineer akipost picha yake akiwa dimbani na akamcopy Tshabalala.

Mtu yeyote aliyesoma sheria ya ushahidi anajua what is circumstantial evidence.Au wale wambea wanaojua kulinganisha doti watakubaliana na mm kuwa kuna kitu kati ya Tshabalala na watu wa utopolo.

Ndio maana ukimuuliza Tshabalala wachezaji anaowakubali utasikia Msuva, Mkude anayedaiwa kutaka kwenda Yanga, Mayele, Diara, Aucho nk.

Simba mchunguzeni mchezaji huyu mtakuja kunishukuru.

Mpira umeanza kushabikia ukubwani
 
Nimemuona Tshabalala kwenye mechi ya Team Kibwana vs Team Job ingawa wapo baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwemo Israel Mwenda na Mzamiru Yassin.

Hata hivyo nimeona pia kwenye page ya engineer akipost picha yake akiwa dimbani na akamcopy Tshabalala.

Mtu yeyote aliyesoma sheria ya ushahidi anajua what is circumstantial evidence.Au wale wambea wanaojua kulinganisha doti watakubaliana na mm kuwa kuna kitu kati ya Tshabalala na watu wa utopolo.

Ndio maana ukimuuliza Tshabalala wachezaji anaowakubali utasikia Msuva, Mkude anayedaiwa kutaka kwenda Yanga, Mayele, Diara, Aucho nk.

Simba mchunguzeni mchezaji huyu mtakuja kunishukuru.
Umepost ujinga.
 
Simba mchunguzeni mchezaji huyu mtakuja kunishukuru

Mchezaji akichoka tu ndio mnamhusisha na MABINGWA WA NCHI
 
Nimemuona Tshabalala kwenye mechi ya Team Kibwana vs Team Job ingawa wapo baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwemo Israel Mwenda na Mzamiru Yassin.

Hata hivyo nimeona pia kwenye page ya engineer akipost picha yake akiwa dimbani na akamcopy Tshabalala.

Mtu yeyote aliyesoma sheria ya ushahidi anajua what is circumstantial evidence.Au wale wambea wanaojua kulinganisha doti watakubaliana na mm kuwa kuna kitu kati ya Tshabalala na watu wa utopolo.

Ndio maana ukimuuliza Tshabalala wachezaji anaowakubali utasikia Msuva, Mkude anayedaiwa kutaka kwenda Yanga, Mayele, Diara, Aucho nk.

Simba mchunguzeni mchezaji huyu mtakuja kunishukuru.
Usichokijua na nadhani na Ushamba ( Ugaigai ) ulionao Unachangia hujui kuwa Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Fiston Mayele muda mwingi wakiwa Off Camp huwa wanakuwa na Matajiri na Wachezaji Waandamizi wa Simba SC.

Kuna Siku Fiston Mayele anashinda kwa Henock Inonga na kutumia hadi Gari lake na hivyo hivyo pia Henock Inonga hufanya kwa Fiston Mayele.

Nenda pale Mikocheni katika zile Appartments za Palm Village anakoishi Khalid Aucho wa Yanga SC kisha uone anavyokuwa pale huwa anakuwa na Watu gani maarufu wa Simba SC ila akiwa nao Uwanjani anakiwasha na kukichafua kweli kweli katikati ya Dimba.
 
Back
Top Bottom