Tshisekedi hakushinda kura. Alipewa urais na Joseph Kabila

Tshisekedi hakushinda kura. Alipewa urais na Joseph Kabila

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Ule Uchaguzi uliotokea kwanza miaka mitano iliyopita Tshisekedi hakushinda.
Alipata urais kwa hisani ya Joseph Kabila.
Kanisa Katoliki lilisema "kesho tutamtangaza mshindi wa Uchaguzi.' Halafu hilo tangazo halikufanyika kwa sababu Papa Francis alitoa maagizo Kanisa lisiingilie mambo ya siasa.
Halafu Tshisekedi mwenyewe alisema hakushinda Uchaguzi.
Lakini baada ya impasse (sintofahamu)ya siku chache,Tshisekedi akatangazwa kuwa president elect.
 
Ule Uchaguzi uliotokea kwanza miaka mitano iliyopita Tshisekedi hakushinda.
Alipata urais kwa hisani ya Joseph Kabila.
Kanisa Katoliki lilisema "kesho tutamtangaza mshindi wa Uchaguzi.' Halafu hilo tangazo halikufanyika kwa sababu Papa Francis alitoa maagizo Kanisa lisiingilie mambo ya siasa.
Halafu Tshisekedi mwenyewe alisema hakushinda Uchaguzi.
Lakini baada ya impasse (sintofahamu)ya siku chache,Tshisekedi akatangazwa kuwa president elect.
Duh..
Joseph Kabila aliwahi kuishi Tanzania, so atakuwa anajua, na akaamua kuiga janja janja ya timu mboga mboga
 
Duh..
Joseph Kabila aliwahi kuishi Tanzania, so atakuwa anajua, na akaamua kuiga janja janja ya timu mboga mboga
Hivi kila kiongozi alishawahi kuishi Tz ni kweli? hata Putin wa Russia, au ni ushamba wa watanzania kujipendekeza kwa kila kiongozi wa dunia.
 
Hivi kila kiongozi alishawahi kuishi Tz ni kweli? hata Putin wa Russia, au ni ushamba wa watanzania kujipendekeza kwa kila kiongozi wa dunia.
Huyo putin unajua wewe. Mimi nimeongelea Joseph Kabila..

Kabila went to school in Tanzania, attending schools based on the British school system where Kabila learned to speak English at a young age. He was also fluent in Swahili, although not in Lingala, which is the language spoken in Congo's capital. While at school he also studied French. After school he trained in the Rwandan military for three years before he went on to continue his education. He went to Makarere University in 1995...
 
Hivi kila kiongozi alishawahi kuishi Tz ni kweli? hata Putin wa Russia, au ni ushamba wa watanzania kujipendekeza kwa kila kiongozi wa dunia.
Kabila baba na huyo mwanae wa kuasili,wote waliishi Tanzania,Tena kabila mtoto ndo kasoma kabisa sekondari za Tanzania na kiswahili chake kimenyooka,Tanzania ilikua Kambi ya wapigania uhuru sub Saharan,so usione wivu
 
Hivi kila kiongozi alishawahi kuishi Tz ni kweli? hata Putin wa Russia, au ni ushamba wa watanzania kujipendekeza kwa kila kiongozi wa dunia.
Putin inasemekana alikuwa mkufunzi kwa wapigania Uhuru hapa Afrika. Ingia Google.
 
Back
Top Bottom