*148*30#
Hii inamaanisha kwa mwezi ni elfu 40!Peruzi mitandaoni ukiwa na Kifurushi bomba kutoka TTCL.View attachment 1719504
Wameshindwa kutumia gap lililopo kufanya biashara...Hii inamaanisha kwa mwezi ni elfu 40!
Sasa si heri nibakie kwenye hii mitandao ya mabeberu tu?
Huku ndo mnatuambia turudi nyumbani kumenoga?
Yaani kunoga kwa kuchunana namna hii?
Mkuu Airtel hii hii nayo ijua mimi au Airtel rapa?Wameshindwa kutumia gap lililopo kufanya biashara...
Voda ukiwa katka baadhi ya mikoa una kula 1Gb kwa wiki kwa 1500/- na madakika kedekede na masms...
Airtel vivyo hivyo
Halotel... Buku kwa 1Gb kwa week...
Sasa una kuja kunogesha 10gb kwa week...
Ebu pambaneni labda ina walipa maradufu... Ila kama haiwalipi waangalie namna iliyo bora kuwin hili soko
Ivi mnatuonaje kwa mfano kwanini mmetoa 10GB kwa 10000 mwezi ??Peruzi mitandaoni ukiwa na Kifurushi bomba kutoka TTCL.View attachment 1719504
Unategemea watakuja kukujibu? Wabongo na customer care ni kama polisi na kibaka...Ivi mnatuonaje kwa mfano kwanini mmetoa 10GB kwa 10000 mwezi ??
Bora tanesco wanajibuUnategemea watakuja kukujibu? Wabongo na customer care ni kama polisi na kibaka...
Kabisa. Hawajamaa watajifia kifo cha kimyakimyaBora tanesco wanajibu