TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Hiyo mb 400 natumia ndani ya siku moja tu... Hamjanishawishi kurudi hapo
 
Na sisi wa ubiruko huku mtuletee hata hiyo H+ tufaidi
 
MCHONGO WA WIKIENDI:
Furahia wikiendi yako ukiwa na Jiachie kutoka TTCL, pata dakika, SMS na MB kibao.
# RudiNyumbaniKumenoga


157509213_10159433179597884_3154636832213820264_o.jpg
 
Hii inamaanisha kwa mwezi ni elfu 40!

Sasa si heri nibakie kwenye hii mitandao ya mabeberu tu?

Huku ndo mnatuambia turudi nyumbani kumenoga?

Yaani kunoga kwa kuchunana namna hii?
Wameshindwa kutumia gap lililopo kufanya biashara...

Voda ukiwa katka baadhi ya mikoa una kula 1Gb kwa wiki kwa 1500/- na madakika kedekede na masms...

Airtel vivyo hivyo

Halotel... Buku kwa 1Gb kwa week...

Sasa una kuja kunogesha 10gb kwa week...

Ebu pambaneni labda ina walipa maradufu... Ila kama haiwalipi waangalie namna iliyo bora kuwin hili soko
 
UZINDUZI:
TTCL na wadau wengine wazindua huduma ya Tiketi mtandao.
Pakua App ya Tiketi Mtandao kwa playstore au App store kisha lipia kwa T-PESA
#RudiNyumbaniKumenoga
#TPesa
#NafuunaSalama


156486521_10159428207202884_2058909217250578421_n.jpg
156368081_10159428207062884_4317124831792692381_n.jpg
156758390_10159428206902884_3409630273380180051_n.jpg
156442904_10159428206957884_4434450459969299626_n.jpg
 
Wameshindwa kutumia gap lililopo kufanya biashara...

Voda ukiwa katka baadhi ya mikoa una kula 1Gb kwa wiki kwa 1500/- na madakika kedekede na masms...

Airtel vivyo hivyo

Halotel... Buku kwa 1Gb kwa week...

Sasa una kuja kunogesha 10gb kwa week...

Ebu pambaneni labda ina walipa maradufu... Ila kama haiwalipi waangalie namna iliyo bora kuwin hili soko
Mkuu Airtel hii hii nayo ijua mimi au Airtel rapa?
 
Back
Top Bottom