Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Inawezekana kabisa mkuu.hiyo sim card nishaivunja nimesajili nyingine vipi mnaweza kuiweka namba ya awali kwenye sim kadi ya sasa
0737146699 namba ya awali
0734730302 namba ya sasa
Mkuu hiii mpaka leo bado ipo??????Jamani hamieni Airtel hiyo menu ili kuipata ni *149*99*5# alafu unachagua 1 smartika. Thank me later.View attachment 1697832View attachment 1697833
Waliniuzi tu pale walipotoa kifurushi cha elf 10 cha GB 10 mweziKabisa. Hawajamaa watajifia kifo cha kimyakimya
Mimi na hayo Mambo ya CCM wapi na wapi?Peruzi mitandaoni ukiwa na Kifurushi bomba kutoka TTCL.View attachment 1719504
Ndiyo maana nimeshangazwa na hii kampuni kuwa na wateja wengi ghafla namna hii.Halotel... Buku kwa 1Gb kwa week...
Tena kwa wakatiBora tanesco wanajibu
Ndio mnasema nyumbani kumenoga?Peruzi mitandaoni ukiwa na Kifurushi bomba kutoka TTCL.View attachment 1719504
[emoji23][emoji23]Na kasi yenu ya konokono hebu mtuondokee hapa.