TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Kuna namna nimeweka line yenu pembeni! Zantel wapo vizuri kwa sasa kwenye bundle za internet.
 
wezesha kiongoz au nipe njia ila kitu kingne mnajisahau sana yaani unakaa siku tatu 4 haujapita jf vp
 
Wanaboa sana, ukifika tuu hapo chanika hawana tofauti na konokono kwa speed ya Internet sasa huko mikoani sijui inakuwaje
 
Back
Top Bottom