Kweli kabisa. Tangu nimehamia Zantel Sina stress tenaKuna namna nimeweka line yenu pembeni! Zantel wapo vizuri kwa sasa kwenye bundle za internet.
HakikaSafi sana... Inapendeza...
Acha uongoKwanini internet yenu inakuwa slow sana
Bado inasumbua auMenu yenu ya TTCL pesa kuanzia jana haifanyi kazi hasa upande wa kununua muda wa maongezi na vifurushi! mnajinyonga wenyewe jamani!
Labda eneo lako tu mkuuMenu yenu ya TTCL pesa kuanzia jana haifanyi kazi hasa upande wa kununua muda wa maongezi na vifurushi! mnajinyonga wenyewe jamani!
Ahsante sanaVifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahanini kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Naomba process ya kuseti APN kwa laini yenu.Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahanini kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Nyumbani hatupataki, mnatulia timing tu upepo ukibadilika mtukamue vilivyo kwa kushtukizaVifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahanini kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Mna nafasi nzuri ya kuwateka wateja wengi zaidi kwa kuboresha zaidi,,,,,,,Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahanini kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058