TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Internet ya hawanjamaa haiko vibaya sana mpaka vijijini nastreem seheme ambayo mitandao mingine haipatikani.

Ila ukweli wako nyuma kimasoko hii ndo shida ya serikali kufanya biashara. Wasubiri ruzuku hazina ndo wafanye kazi wakati wenzao nimkupress tu button ela ya kazi inapatikana
 
Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali

Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.

#RudiNyumbaniKumenoga


168461925_10159505676732884_7658050425240445985_n.jpg
 
Back
Top Bottom