Wale wengine hawajarudisha bado, natafuta laini ya TTCL NARUDI NYUMBANI KUMENOGAVifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahanini kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Shukrani kwa sahihisho lako.Samahanini?
Ni “Samahani”
Option ya kununua bando tam tam kwenye T Pesa mbona mmeitoa sasa. Hapa tu ndio tunagombanaga na nyie. Na mtakuwa mmeitoa makusudiHeri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Name: TTCLNaomba process ya kuseti APN kwa laini yenu.
Nikiseti kwa namna ninayoseti laini zingine inanigomea.
Mkuu huwa inatumiwa TTCL?Shukrani kwa sahihisho lako.
#RudiNyumbaniKumenoga
Kwa hiyo mlikua mnatupiga beat la kupandisha bei ya vifurushi.Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
AseeMmerudisha na speed au na speed nayo mpaka tuwasemeee kwa mama?
Naam, natumia mtandao wa TTCL.Mkuu huwa inatumiwa TTCL?
Kwenye T-Pesa vipi kule tatizo ni niniNaam, natumia mtandao wa TTCL.
#RudiaNyumbaniKumenoga
Network coverage yenu Mbezi Malamba mawili aishiki! Ongezeni minara basi, yaani Mbezi tu hapo mpaka upande juu ya mwembe ndio upate mtandao!Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Mtandao wenu mbovu sana, uko kiasiasa zaidi, hauna ushirikiano, sms zenu mwisho characters 160, upumbavu mtupu. Sijui mmekuja kushindana na nani? Au ndio mmedhamiria kuitia hasara serikali ya mama yetu?Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Laini yako ya Vodacom tunaijua, TTCL umeweka kwenye kitochiNaam, natumia mtandao wa TTCL.
#RudiaNyumbaniKumenoga