Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RudiNyumbaniKumenoga hautojuta.Mmeanza kunishawishi. Sijui nirudi nyumbani, maana hadi mudaa mpaka nimeanza kudaiwa na songesha.
Tafadhali tunaomba uwe mvumilivu wakati wataalam wakiendelea kutatua changamoto hiyo.Siyo kweli asubuhi niliona ila sasa hivi ukiingia kwenye menu ya Tpesa hamna option ya kununua vifurushi ambako ndio unapata bando tamtam customer care wanadai bado mnafanya mabadiliko
Shida mtandao haupatikani sehemu kubwaHeri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Ndugu mteja, wataalam wetu wanaendelea kutatua changamoto ya kununua bando kupitia T PESA.Admin wa id ya ttcl kajibu maswali magumu, kashindwa kujibu swali jepesi, iko wapi menyu ya kulipia bando kupitia t pesa?
Hiyo gb 1 siku tano, walikuwa wanauza sh. Ngapi?Moja, T-pesa mbna hamna option ya kununua vifurushi, na vocha zenu zilivyo mpaka uzifungie safari ofisini.
Mbili, naomba kuuliza ni wizi/uongo mafanya lile bando la tamtam GB 1 siku tano cha ajabu hata siku haiishi nalo limeisha tofauti na mda kiasi nilikua nafika hata siku tatu,na mtu mwenyewe matumizi sio ya kasi hyo kumaliza GB 1 kwa masaa.
Mkuu bundle ni kama ndoo ya maji..matumizi yako ndio yatadetermine ndoo ya maji ikae siku ngapiMoja, T-pesa mbna hamna option ya kununua vifurushi, na vocha zenu zilivyo mpaka uzifungie safari ofisini.
Mbili, naomba kuuliza ni wizi/uongo mafanya lile bando la tamtam GB 1 siku tano cha ajabu hata siku haiishi nalo limeisha tofauti na mda kiasi nilikua nafika hata siku tatu,na mtu mwenyewe matumizi sio ya kasi hyo kumaliza GB 1 kwa masaa.
1000Hiyo gb 1 siku tano, walikuwa wanauza sh. Ngapi?
Bando hilo hilo, matumizi yangu ni yale yale lilikua linafika hadi siku siku tatu hayana tofauti na matumizi haya haya ambayo bando halimalizi hata siku washaanza kunijazia text kama za umetumia asilimia 75 sijui nini, na ndo swali langu liko hapo.Mkuu bundle ni kama ndio ya maji..matumizi yako ndo yatadetermine ndio ya maji ikae siku ngapi
Mkuu matumizi hayawezi kuwa sawa...piece kali zinaongezeka lila sikuBando hilo hilo, matumizi yangu ni yale yale lilikua linafika hadi siku siku tatu hayana tofauti na matumizi haya haya ambayo bando halimalizi hata siku washaanza kujijazia text kama za airtel umetumia asilimia 75 sijui nini, na ndo swali langu liko hapo.
AsanteName: TTCL
APN: internet
#RudiNyumbaniKumenoga