Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna ofisi wamejaa wapare tu...baba manager binti naye ameajiriwa..lolHii kampuni ingeuzwa tu, hamna wanachokifanya kuna mkoa flani ni kama kampuni ya familia ukiingia ofisini wanaongea kikabila chao tu boss hadi anaefagia wote kabila moja.
Hamna biashara hapo.