Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna ofisi wamejaa wapare tu...baba manager binti naye ameajiriwa..lolHii kampuni ingeuzwa tu, hamna wanachokifanya kuna mkoa flani ni kama kampuni ya familia ukiingia ofisini wanaongea kikabila chao tu boss hadi anaefagia wote kabila moja.
Hamna biashara hapo.
Halafu kama vifurushi vinaisha haraka sana kuliko mitandao mengine
Nenda kaitupe Buza Kwa Mpalange ikibidiTena wamenitia hasira lilaini lao naenda kulitupa chooni
Hapo issue kubwa kwao ni huyo nandy watu wamuone...Kuna ofisi wamejaa wapare tu...baba manager binti naye ameajiriwa..lol
vipi mkuu inataka kutiita line[emoji2][emoji2]View attachment 1812220
Nikaiweke chooni ndio dawa yao hawa
NANDY anaenda kula fedha za walipa kodi maskini.
TTCL NI JANGA ZAIDI YA OLE SABAYA.
Umejuaje?Usikute hata aliyepost huu uzi katumia bando la halotel
Maana wabongo hawajawahi kua seriously aisee!
Only in tz!
πππ
Nilijua pale nilipoona balozi anayegawa vipeperushi na motivation speaker wa simu za itel akitumia Infinix s5 ndio nilipojua bongo nyosso!Umejuaje?
Waipeleke hata jukwaa la mahusianoMods unganisheni nyuzi hizi. Naona wanatujazia forum tu hapa.
Tupo tayari kukuhudumia.
Karibu sana.
TTCL NANDY FESTIVAL 2021
#RudiNyumbaniKumenoga
#WatakaaTu
View attachment 1819801