TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Tembelea Vituo vyetu vya Huduma kwa Wateja ujipatie Mi-Fi yako kwa huduma Bora za Intaneti.
# RudiNyumbaniKumenoga

239871360_10159823474492884_3223360044209194715_n.jpg
 
Aya mtushawishi wananchi yani 110,000
Uku vodacom wanauza 75,000 na free GB 50 zakuanzia mwezi wa kwanza
 
Ndugu mteja asante kwa swali lako.
Huduma hii inapatikana maeneo yote ya Dar es Salaam.
Karibu dukani kwetu ujipatie Mi-Fi yako yenye spidi ya 4G.
-WM
Tuwekee maelezo au link ya bando za internet ili tujue na matarajio kwenye hiyo Mi-Fi
 
Furahia wikiendi yako ukiwa na Modem ya TTCL yenye kasi zaidi.
Tembelea kituo chetu cha huduma kilichokaribu nawe ili ujipatie yako.
#RudiNyumbaniKumenoga

239867013_10159828230792884_3854787651229658363_n.jpg
 
Yaani nilikua nawaaminia ila sasa basi yaani katika suala la customer service mpo nyuma sana naweza sema nyinyi ni matapeli mlojawa ukatili wa hali ya juu, vocha zenu pia zina viwango vya chini mno, yaani unakwangua namba hazionekani then mnapgiwa hamtoi msaada, nawafuata ofisini pia mnashindwa kunisaidia mnasema mtanipgia cmu. Hadi sasa ni week hamna simu wala sms na hii inaenda ni week 2 tokea nimeanza kuimba msaada wa voucher yangu lakn hamtak kunisaidia, hamjui tu ni kwasababu gn nilinunua voucher. Mimi nitamshtakia tu mungu muweza wa yote nyinyi simnataka kunidhurumu 2000 yangu, Inshaallah mungu atanilipia
Aisee mimi pia nilipatwa na hii changamoto, ni mwezi unakaribia kuisha sasa bila kupata mrejesho wowote. Mara mbili kila nikikaangua vocha zao namba hazionekani, niliwapigia simu wakaniambia wanashughulikia lakini mpaka leo kimya.
 
TTCL inahujumiwa Au Kuna watu humo ndani Wanaigujumu ikose mapato,Yaende makampuni binafsi,
Kwanini Tangu jana Mtandao wa Internet uko Very very low?
 
Back
Top Bottom