TTCL Customer Care
Official Account
- Aug 18, 2016
- 279
- 317
- Thread starter
-
- #2,561
Ni maeneo gani ya Dar es Salaam hii huduma inafanya kazi?Tembelea Vituo vyetu vya Huduma kwa Wateja ujipatie Mi-Fi yako kwa huduma Bora za Intaneti.
# RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1901850
Ndugu mteja asante kwa swali lako.Ni maeneo gani ya Dar es Salaam hii huduma inafanya kazi?
Hii ina kasi zaidi ya 4GAya mtushawishi wananchi yani 110,000
Uku vodacom wanauza 75,000 na free GB 50 zakuanzia mwezi wa kwanza
Hapana, inasoma laini ya @TTCL tu.Hiyo Mi-Fi inasoma sim card za mitandao mingine ?
Tuwekee maelezo au link ya bando za internet ili tujue na matarajio kwenye hiyo Mi-FiNdugu mteja asante kwa swali lako.
Huduma hii inapatikana maeneo yote ya Dar es Salaam.
Karibu dukani kwetu ujipatie Mi-Fi yako yenye spidi ya 4G.
-WM
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣utofauti wake ni nini au inasaidia kukwepa tozo?
Vipi tozo mna zizungumziaje zipo poa au waongeze kidogoFurahia wikiendi yako ukiwa na Modem ya TTCL yenye kasi zaidi.
Tembelea kituo chetu cha huduma kilichokaribu nawe ili ujipatie yako.
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1901865
kama umeelewa tusaidie maana ni mwendo wa tozo kumiliki simu imekuja kuwa balaa!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aisee mimi pia nilipatwa na hii changamoto, ni mwezi unakaribia kuisha sasa bila kupata mrejesho wowote. Mara mbili kila nikikaangua vocha zao namba hazionekani, niliwapigia simu wakaniambia wanashughulikia lakini mpaka leo kimya.Yaani nilikua nawaaminia ila sasa basi yaani katika suala la customer service mpo nyuma sana naweza sema nyinyi ni matapeli mlojawa ukatili wa hali ya juu, vocha zenu pia zina viwango vya chini mno, yaani unakwangua namba hazionekani then mnapgiwa hamtoi msaada, nawafuata ofisini pia mnashindwa kunisaidia mnasema mtanipgia cmu. Hadi sasa ni week hamna simu wala sms na hii inaenda ni week 2 tokea nimeanza kuimba msaada wa voucher yangu lakn hamtak kunisaidia, hamjui tu ni kwasababu gn nilinunua voucher. Mimi nitamshtakia tu mungu muweza wa yote nyinyi simnataka kunidhurumu 2000 yangu, Inshaallah mungu atanilipia
Pole yakoAisee mimi pia nilipatwa na hii changamoto, ni mwezi unakaribia kuisha sasa bila kupata mrejesho wowote. Mara mbili kila nikikaangua vocha zao namba hazionekani, niliwapigia simu wakaniambia wanashughulikia lakini mpaka leo kimya.