Mbona kifurushi cha mega bando halotel 2000 gb 2 unajiunga buku buku mara 2,kupitia halopesaHalotel ndo wazalendo kwenye bei ,kwa 2000 gb 1.6 kwa week
Hawa jamaa hawapo serious. Uzalendo utupishe tu.Halafu ya chuo ,wakati halotel ya kawaida kwa 2000 ni gb 1.6
Hiyo huwa nairuka sikujua ,thanksMbona kifurushi cha mega bando halotel 2000 gb 2 unajiunga buku buku mara 2,kupitia halopesa
3000 gb 3 kwa wiki line zote
Mashirika ya serikali n sikio la kufa mkuuVifurushi vyenu mvipitie upya.
Shughulikeni na wataalamu wenu wa masoko mpate wateja wengi zaidi. Tumechoka gharama za Vodacom.
Boresheni utendaji
Kuwaandikia au ndo mchukue hatua!!!!Asante kwa kutuandikia.
Mimi Mpaka saizi zizijui vocha za Ttcl zilivyo😂😂😂Mashirika ya serikali n sikio la kufa mkuu
Hawalipi Kodi lakn vifurush vipo ghal San...
For sure mkuu...afu halotel bundle zao hakuna ku expire ....Kwa gharama nafuu za internet hakuna anayemkaribia halotel......
Kwahiyo tuhamishe vyuo visogee katikati ya mji maana huko pembezoni vilipo mtandao wenu hausomi kabisa!!!Peruzi na Jisomee ukiwa na kifurushi cha Boom pack.Piga *148*30*35# kujiunga.
# RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1965805
View attachment 1965806
Wakipokea unasikia "...mtu wa kukusaidia kwenye hili hayupo maana yeye ndiye alikwenda kusomea China labda akirudi atakupigia..."Customer service muwe mnapokea simu!