kwa Nini mnapandisha vifurushi sawa na mabepari wengine wa Mitandao. Buku 2 kwa gb1 sio halali maana buku 2 inapatikana kwa shida, wakati gb 1 inaisha fasta. Nadhani mngefanya kivywenu Ili kuwe na urahisi wa vifurushi mpate wateja wengi. Sasahivi watu wengi watawahamaMkuu, nicheki WhatsApp kwa namba hii 0738151511
kwa Nini mnapandisha vifurushi sawa na mabepari wengine wa Mitandao. Buku 2 kwa gb1 sio halali maana buku 2 inapatikana kwa shida, wakati gb 1 inaisha fasta. Nadhani mngefanya kivywenu Ili kuwe na urahisi wa vifurushi mpate wateja wengi. Sasahivi watu wengi watawahamaMkuu, nicheki WhatsApp kwa namba hii 0738151511
TTCL wangempa mafuru awe director,, mafuru yule aliipaishaga vodacom kipindi akiwa marketing manager wao,,Huu mtandao wamejaa wazee tupu kwahiyo hakuna msaada wowote.
Huu mtandao hapana. Mitandao km hii ya ovyo hutakiwi kuitumia
Ha ha ha, yaani vocha zao inatakiwa ukwangue taratibu na bila kutumia haraka, au la unepoteza hela, ishanitokea sana, kama sio uzalendo ningeshatupa lineTTCL MNAONGOZA KWA HUDUMA MBOVU YAANI SIJAWAHI KUONA
1. Vocha zinakwanguka na kupoteza namba kirahisi sana (nimepata hasara mara kadhaa kwa hili)
2. Huduma kwa wateja nayo ni mbovu sana, unapiga simu juu ya changamoto ya vocha kufutika Ili uwatajie serial namba wakujazie kama mitandao mingine muda huo huo unaambiwa baada ya masaa 24 (ikifika muda hujaziwi inabidi upige tena)
3. Kuunga vifurushi nayo changamoto (utadhani lazima mjuane ndio baadhi ya huduma update)
4. Kutuma meseji lazima urudie mara mbili ndio ikubali
Sasa ulitaka mama yako asiajiriwe? Na wewe utazeeka tu kama mama yako na bado utaendelea kuajiriwa mpaka ustaafu dada!Kampuni imeajiri vizee kibao.
Ukiingia mule ndani utadhani upo kilingeni kwa bibi yake mbao z a mawe
Rudi Nyumbani Kumenoga.
Vocha zilizo kwanguka vibaya Mbona hamtulejeshei na nilisha wapigia mpaka saiv hampokei cm
Speed yenu ipo chini sana sijui mnakwama wapi TtclUnataka kula maisha? Basi piga *148*30# ujionee raha ya maisha kupitia vifurushi vyetu mbalimbali.
Peruzi mitandaoni ukiwa na kifurushi bomba kutoka TTCL.
Piga *148*30# ili kujiunga na kifurushi cha T CONNECT PLUS.
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1987623
Kwanini mmeiondoa Toboa night pack?Unataka kula maisha? Basi piga *148*30# ujionee raha ya maisha kupitia vifurushi vyetu mbalimbali.
Peruzi mitandaoni ukiwa na kifurushi bomba kutoka TTCL.
Piga *148*30# ili kujiunga na kifurushi cha T CONNECT PLUS.
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1987623
still bado ni ghali!Unataka kula maisha? Basi piga *148*30# ujionee raha ya maisha kupitia vifurushi vyetu mbalimbali.
Peruzi mitandaoni ukiwa na kifurushi bomba kutoka TTCL.
Piga *148*30# ili kujiunga na kifurushi cha T CONNECT PLUS.
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1987623