TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Hii huduma ni gumashi haipo kwani ukinujua bufee kwa t.pesa hupati kifurushi na pesa hairudi.


Mimi tangu tarehe 25.02.2022 nimenujua bufee ya 10,000 kwa t.pesa sijapata kifurushi na hao huduma kwa wateja ndiyo pumbafu kabisa hamna wanachojua
 
Tangu tarehe 18 mwezi huu mmenikata 1704 lkn sikupata data Wala dakika, nimepiga simu zaidi ya Mara 6 lkn sipati msaada, Ttcl acheni wizi na utapeli nataka hela yangu
 
1500/= ni SMS 2000 tu aiiii ongezeni SMS.

Mitandao mingine 1000/= unapata SMS 6000.

Ushauri, ongezeni idadi ya SMS kwa 1500/= mtu apate hata SMS 5000.
 
Tumeomba kuunganishiwa huduma ya internet tokea mwezi wa 08 mwaka jana hadi leo hatujafanikiwa kuungiwa , shida ni nn
 
Huu mtandao uko kizamani, haukubali kuingia menu yoyote ya bank.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…