TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Sina haja ya kulalamika sana niliitupa line aiseh kuna mda network inapotea kabisa
 
Hawa majamaa ni wahuni sana hawa yaani nimejiunga GB 10 ili nipakue vitu vangu chaajabu network ipo slow kama kinyonga.

Kesho asubuhi alfajiri na mapema naivunjavunja laini yao kwa meno yangu.
Uzi tayari.
TTCL
watu wa elimu bure hamjifichi mnajifichua haraka
 
Kamilisha majukumu yako ya wiki kwa bando la bei nafuu kutoka TTCL.

Rudi Nyumbani Kumenoga
103435166_10158688696737884_452055640939712890_o.jpg
 
Muhimu kwa Watumishi wote.
Endelea kufurahia huduma zetu.
Piga *148*30# kisha chagua ofa maalum.
# RudiNyumbaniKumenoga

101752606_10158675602742884_4261846754481143808_o.jpg
 
Back
Top Bottom