Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
Ngoja yakukuteNgoja niendelee na hawa voda 3000/= == 3GB (7 days).
Haya matatizo mengine nayasikiaga kwa jirani tu!
Hata nawe yanaweza kukukuta huko.
Mwaka wa pili huu natumia laini yao.Hata nawe yanaweza kukukuta huko.
Ulilalamika wana huduma mbovu kwa wananchi! Kaa chonjo tena!
Nawavumilia tu ila kiukweli natumia ZantelUlilalamika wana huduma mbovu kwa wananchi! Kaa chonjo tena!
Nilitupa line Yao siku ya pili tu baada ya kununuaInternet yenu mbovu ,
Utajuaje kama mimo mtumishi?
Kwangu iko poa sana naenda mwaka wa tatu.Internet yenu mbovu ,
Ila mna maeneo mengi ya kuboresha ili muweze kuendana na kasi ya washidani.. Huduma zenu zinalalamikiwa mno.. Pengine kuliko mitandao mingine yoteOngea na Chati zaidi kwa gharama nafuu ukiwa na TTCL Corporation #RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1478257View attachment 1478258View attachment 1478259
Sent using Jamii Forums mobile app