TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Kàribuni nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya 6 leo kila nikituma SMS zinagoma kwenda.
Jamani kama Nyumbani Kumechoka mtuambie mapema ili tuhame twende kwenye mitandao mingine.
Hivi CEO wa TTCL huoni hili tatizo?
Waziri wa Mawasiliano nae yupo kimya.

Je kampuni inajukumiwa na wafanyakazi wa TTCL wenyewe?

Timua kazi kampuni nzima kisha fanyeni kuajiri watu wapya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongea na Chati zaidi kwa gharama nafuu ukiwa na TTCL Corporation #RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1478257View attachment 1478258View attachment 1478259

Sent using Jamii Forums mobile app
Suala LA mbs tu nakubali. Mpo vizuri...kama kwa huduma za toboa na Bandika bandua...mpo vizuri.

Tatizo ni pale napo tuma sms kwenda mtandao mwingine...hapo ndo kimbembe...wakati mwingine naweza kuresend mpaka naamua kuachana na matumizi ya sms. Sijajua mnakwama wapi ttcl
 
Yani utaRESEND mpaka unajiuliza hivi nimejiunga MBs tupu au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…