Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii unayopata wewe si kila mtu anapataVoda kwa buku jero napata dk 120,Gb 1 na sms kibao.hebu jaribun kuwa wabunifu halafu huu mtandao wenu kuna sehem network iko chini sana.
Wewe ndio umeandika vizuri, mwenzio alisahau kuandika ni kifurushi cha siku tatuKwangu napata 3000 dk 120, 1gb kwa siku 3
Ilibidi uweke na siku kinazodumu, pia hii ni yakwako tu kwahiyo sio kila mtu atapata kama wewe kwa bei hiyo, halafu wanaangalia speed yako kwenye kukitumia wakiona speed yako kubwa wanakupandishia beiVoda kwa buku jero napata dk 120,Gb 1 na sms kibao.hebu jaribun kuwa wabunifu halafu huu mtandao wenu kuna sehem network iko chini sana.
Voda kwa buku jero napata dk 120,Gb 1 na sms kibao.hebu jaribun kuwa wabunifu halafu huu mtandao wenu kuna sehem network iko chini sana.
Angali kifurushi cha Jiachie, kipo unlimited.Anzisheni kifushi ambacho unaweza kutumia malipo yako kwa data au maongezi au kwa meseji utakavyo mpaka kiishe.
Mfano TANESCO umeme ukiununia hauainishwi kama ni wa kupikia, wa taa au wa a feni.
Njia bora ya kutoa gawio ni kutoa huduma bora kwa wateja wenu.Ongea na Chati zaidi kwa gharama nafuu ukiwa na TTCL Corporation #RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1478257View attachment 1478258View attachment 1478259
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongea na Chati zaidi kwa gharama nafuu ukiwa na TTCL Corporation #RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1478257View attachment 1478258View attachment 1478259
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni utani jamani! Yani elfu 5 mb500 na dk 300? Kweli?Ongea na Chati zaidi kwa gharama nafuu ukiwa na TTCL Corporation #RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1478257View attachment 1478258View attachment 1478259
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni kwa bundle la serereka, kuna vifurushi vingine kwa ajili ya MBs tu, bofya. *148*30# uzuri MBs zao hawatuibii.Wiki Mb100 mwezi Mb 500.
Serious??
Kwahiyo sisi vijana wa TTCL ni mandezi?Bodi ya TTCL ni ya kichoko sana. Yamejazana mazee tu yasiyo na akili ya biashara pamoja na vijana mandezi....... Wanaboa sana. Kwa mtaji huu hiyo taaisisi kutoboa ni ndoto sana.....