line yao nilitupilia mbali baada ya kugundua wanatumia minara ya tigoJamaa wamechezea Menu nzima aisee... Nmelala kwenye Menu yao npate kifurushi cha kutumia sioni. Sijui nani kwashauri utumbo. Kwa hali hii naeza enda futa hata huo usajili wao
SeenToboa night jamani nyie mbuzi
Si hicho tu hata kile cha wiki kwa 2500 Gb 3 wamebadilisha mpka 3500 kwa Gb2.5 vifurushi vimekua vyakiboyaa ngoja niwahame uzur chip ninazo kama zote waki change huku mim na nahamia kule...Kile kifurushi cha kupata 10GB kwa 1,000tzs kwanzia SAA 6 usiku-12Asubuhi mbona mmekiondoa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1522463
View attachment 1522464
View attachment 1522466
Hizi bei zenu ziangalieni upya
Hali ya maisha mtaani mnaijua halafu mnajitoa
ufahamu as if mnaishi Mars.
Hawa jamaa nawahama....huwezi kupunguza data ghafla bin vuuu kama vile hela wanatoa wao.... Nkt...View attachment 1522463
View attachment 1522464
View attachment 1522466
Hizi bei zenu ziangalieni upya
Hali ya maisha mtaani mnaijua halafu mnajitoa
ufahamu as if mnaishi Mars.
Ni kweli tumeviondoa baada ya kukifanyia tathmini ya uhakikaKile kifurushi cha kupata 10GB kwa 1,000tzs kwanzia SAA 6 usiku-12Asubuhi mbona mmekiondoa?
Kuna kila dalili ya wateja kuwakimbia, ngojea sisi wapenzi watazamaji tutazame movie.View attachment 1522463
View attachment 1522464
View attachment 1522466
Hizi bei zenu ziangalieni upya
Hali ya maisha mtaani mnaijua halafu mnajitoa
ufahamu as if mnaishi Mars.
Mbona boom pack mmetoa 12gb mpk 7gb kwa 10,000 na 5gb mpk 3.5gb kwa 5,000?TTCL Corporation tunawatakia Waislamu na Watanzania wote Sikukuu njema ya Eid Al-Hajj
Furahia Sikukuu ukiwa na mtandao Bora, Nafuu na Salama.View attachment 1522469
Wanapata hasara na tayari wana wateja sasa. Ilikuwa kuvutia wateja eboooMbona boom pack mmetoa 12gb mpk 7gb kwa 10,000 na 5gb mpk 3.5gb kwa 5,000?
Mkuu umepata pa kusemea....Kile kifurushi cha kupata 10GB kwa 1,000tzs kwanzia SAA 6 usiku-12Asubuhi mbona mmekiondoa?
Ilikua karibu mgeniKile kifurushi cha kupata 10GB kwa 1,000tzs kwanzia SAA 6 usiku-12Asubuhi mbona mmekiondoa?