Haha ni soko huru , I have nothing to loseUtaula wa chuya kubabae
Nenda zako Halotel ukale rahaHaha ni soko huru , I have nothing to lose
Halotel inazingua ninapoishi haikamati kabisa ngoja nitumie vodaNenda zako Halotel ukale raha
Ndugu yangu hayupo JF je nimwambie ajiunge JF kwanza ili aweze kukupa namba yake umtatulie tatizo lake??Naomba namba yako tafadhali
Pole sana mkuu, unapatikana wapi?Niliomba ruhusa kutumia laini zaidi ya moja kwa njia ya simu ikazingua nikatoka nikaenda mjini ttcl shop hawana hiyo huduma
Habari yako mkuu, mwambie anaweza kuwasiliana nasi WhatsApp kwa namba 0738151511Ndugu yangu hayupo JF je nimwambie ajiunge JF kwanza ili aweze kukupa namba yake umtatulie tatizo lake??
Habari yako mkuu, una siku ngapi tangu uinunue hiyo modem?nilnunua modem mnaita dongo haijawahi kukubali kutumika nilipoenda kwenye ofis nilipo inunua wakadai pc yangu inashida ajabu nikuwa nimejaribu kuitumia ktk vifaa tofauti tofauti hakuna kitu sijui tatizo ninini elfu hamsini yangu iliniuma,
hadi leo nikipita pale ofisini nashikwa na ghadhabu kinyamaaa .
Unawadanganya wenzioMko vizuri. Pigeni kazi
Mkuu mbona hujajitambulisha??Habari yako mkuu, mwambie anaweza kuwasiliana nasi WhatsApp kwa namba 0738151511
SeenTTCL jiandaeni kisaikolojia yani vifurushi vyenu sasa hivi vipo juu kuliko mitandao yote,shida nyingine mtandao wenu hauna nguvu kama mitandao mingine,kuna baadhi ya maeneo ukienda au ukiwa njiani unasafiri ni sehem chache sana ambao mtandao wenu unashika tofauti na mitandao mingine....tuliwavumilia kwa sababu mlikua na unafuu wa vifurushi lkn navyo mmebadilisha tena,kama kuna uwezekano niambieni line yenu niwetee wapi sihitaji tena kutumia mtandao wenu
Hapana.Mkuu mbona hujajitambulisha??
Kwani nawe unafanya kazi TTCL???
Jiunge na mtandao bora wa TTCL ufurahie huduma zenye bei nafuu na kasi ya intaneti ya 4.5G.Unawadanganya wenzio
πππππJiunge na mtandao bora wa TTCL ufurahie huduma zenye bei nafuu na kasi ya intaneti ya 4.5G.
#RudiNyumbaniKumenoga
Rudi Nyumbani Kumenoga[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Acheni uongoTunashukuru kwa ushauri wako. Ombi lako tunalifanyia kazi.
Waongo sio kwelieti nikipiga hizo namba ndo anapokea huyo shori hapo???.....
Nipo Morogoro vijijiniPole sana mkuu, unapatikana wapi?
Acheni uongo