TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

nilnunua modem mnaita dongo haijawahi kukubali kutumika nilipoenda kwenye ofis nilipo inunua wakadai pc yangu inashida ajabu nikuwa nimejaribu kuitumia ktk vifaa tofauti tofauti hakuna kitu sijui tatizo ninini elfu hamsini yangu iliniuma,
hadi leo nikipita pale ofisini nashikwa na ghadhabu kinyamaaa .
 
Habari yako mkuu, una siku ngapi tangu uinunue hiyo modem?
 
Seen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…