Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Malinyi, Ulanga au Mahenge?Nipo Morogoro vijijini
Saaaana!Hahaha wanazingua
Ngugu mteja, jiunge na mtandao bora wa TTCL ufurahie huduma zenye bei nafuu na kasi ya intaneti ya 4.5G.Saaaana!
MvomeroMalinyi, Ulanga au Mahenge?
Danganywa! Nyumbani? Kumenoga?Ngugu mteja, jiunge na mtandao bora wa TTCL ufurahie huduma zenye bei nafuu na kasi ya intaneti ya 4.5G.
#RudiNyumbaniKumenoga
Hakika kumenoga.Danganywa! Nyumbani? Kumenoga?
Piga *148*30# kuchagua vifurushi vingine.Na sisi ambao sio watumishi?
Namba yako ya TTCL tafadhali.Mvomero
NakupmNamba yako ya TTCL tafadhali.
Shukrani.Nakupm
Pole kwa changamoto, je unapata tatizo lipi unapotumia huduma za TTCL?Mnakimbiza wateja...
Internet haina kasi....Pole kwa changamoto, je unapata tatizo lipi unapotumia huduma za TTCL?
Muhimu kwa Watumishi wote.
Endelea kufurahia huduma zetu.
Piga *148*30# kisha chagua ofa maalum.
#RudiNyumbaniKumenoga.
Roho imeniuma juzi, nilizoea kujiunga kwa Tsh. 10,000 napata GB 12. Mmepunguza hadi GB7 kwa bei ile ile, siyo poa kabisa.
Hakika kumenoga.
Tatizo speed halotel ni zero...Njoo halotel