Jamaa anajitahidi Sana kujibu post za wadauAfu we people em Kama vipi ujitambulishe vzr kama unafanya kazi TTCL au vp ili tujue na sio una.reply coment za mume/wake za watu bure bure
Ndugu mteja, ukinipa namba yako ya simu itakuwa vizuri sana.ilikuwa mwezi april mwaka huu!
mtandao gan?1GB kwa 1000! Sio week ni Unlimited!
Bora umenenaNatumia ttcl almost mwaka wa pili sasa
Ila hii sasa imetosha hamna namna inabidi niachane nayo tu
Kwanza vifurusho mnapunguza kiholela tu hovyo hovyo tu
Kibaya zaidi mmeanza wizi wa kijinga na kipumbavu kabisa
Imekuwa mtu akiweka salio kabla hajajiunga kifurushi mnakata pesa fasta
Mnakata pesa kama 12 au 15 pesa ambayo kiuhalisia inakutia hasara kwa sababu huwezi kujiunga tena mpaka uongeze salio
Mmeluwa mkikata kwangu mpaka jana ilikuwa mara ya tatu nikiwapigia mnarudisha
Limtandao muda mwingi li-bovi na la hovyo.
Asante kwa maoni yako mkuu.Vifurushi vyenu hovyo sana.. mnazidiwa na mitandao mingine.. rekebisheni maana nyinyi ni shirika la umma.
Haha alifanya nnMjinga mmoja tuu huyo
Hauoni malalamiko ya watu ?Haha alifanya nn
Sijafuatilia hataHauoni malalamiko ya watu ?
Zantelmtandao gan?
[emoji106]Zantel
Maonyesho √..kutoka Kitenzi-OnyeshaMaonyesho=Maonesho