TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Mkonga mnao nyie lakini tamaa, usimamizi mbovu, business plan mbovu, hamna vifurushi vizuri, bei za ajabu, broadband bei juu, mngekuwa mbali sana kwani ni kampuni ya zamani na ni yetu lakini mnaenda enda tu!
 
Nyumbani hakujanoga tena bali kumedoda !!!!!!!!!
Aisee nimeingia Mjini leo toka porini huko nimekuta :-
Hakuna tena toboa tobo ya kushushia mizigo, Bandika bandua nayo nikijaribu kuunga kile cha 10GB kwa 2500 napata ujumbe " sorry,your input is invalid" wamekiacha kile cha 4GB tu.
Nikasema niende Boom nako wanakupa 350M kwa Jero japo kwenye Menu wanasema ni 600MB ,
 
miundo mbinu yenu, Imekuwa ni kkwazo kwa watumiaji wa barabara

Eneo: Chuo cha Teku, Mbeya.

Hii ni jana, Ngazi iliwekwa kati kati ya barabara kushikilia cble




Your browser is not able to display this video.


Hii ni leo, Magari makubwa yanapata changamoto




Your browser is not able to display this video.
 
Nilinunua vocha za ttcl za tshs5000 ikiwa za 2000 zipo2 na tsh1000 ipo1,hii ya tsh 1000 ilikubali kuingia kama salio hizi zingine zimegoma,toka trh 2feb21 hadi sasa nishaongea na huduma kwa wateja zaidi ya mara nne jibu lao ni vocha zilikuwa hazijaidhinishwa kwa ajili ya matumizi.hivyo tatizo hilo wataripeleka sehemu husika baada ya saa24 zitakuwa tayari kwa matumizi,toka 2feb21 hadi leo hizo saa 24 bado?pia mtaingiza vp vocha sokoni kabla hazijawa verified?
 
Nimeshangaa wanavyotoa huduma kwa wateja, wamekusubirisha muda mrefu hivyo what if ulikua una hiyo pesa tu na ndiyo umenunua vicha upige simu kuna dharura, mimi ndiyo maana ni lazima niwe na mbadala wa line, halotel wanajitahidi ila hawa wengine wanatoa huduma chini ya ubora sana
 
Mbaya zaidi hata waliopo hapa hawaleti mrejesho wowote akija kiongozi mwingine akabinafusisha utasikia wafanyakazi wanavyopiga kelele kama wana uchungu na nchi
 
Nyie ni wapumbavu wakubwa hivi customer care hamna watu tunapiga simu hazipokelewi maana yake nini halafu shirika likibinafusishwa mnapiga kelele au hamjui mnatumia kodi zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…