HahahaaaaaKwa hizo megabytes 400 ukijiachia lazima udondoke
Mimi nasubiri changamoto yangu niliyokwisha kueleza na mwenyewe ukaibonyezea kitufe cha thanks!Tunaomba kujua changamoto unayoipata pindi utumiapo huduma zetu za TTCL kwa msaada zaidi.
Ahsante
Mkuu wakikujibu naomba nitag.HIVI MNAJUA MAANA YA BILA KIKOMO YAAN UNLIMITED SASA 400MB NDO BILA KIKOMO
Habari, ahsante kwa kuwasiliana nasi.
Kwa sasa hatuna kifurushi hicho.
Kipo cha Bandika Bandua.
Ahsante
Kuna wakati nafikiria itakuwa sahihi hili shirika likafumuliwa na kuundwa upya.
Bandika Bandua nadhani Tsh 1000 ni GB 4 , GB 3½ unatumia kuanzia saa 6 usiku mpk 12 asubuhi na MB 500 kuanzia saa 12 mpaka 6 usikuKikoje hicho na bei yake ikoje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mrembo kama uyo amejiunga kifurushi cha jero tu? Wanaume wa Dar mnafeli wapi sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani sasa mnaweka huyumama hapa hizo MB 200 zote si zitaishia kumtazama yeye[emoji23][emoji28][emoji38] !!!! Kuweni waungwana basi
ukisema bila ya kikomo unamanisha hakuna kiwango cha matumizi sasa apa nao mb 400 sasa hii ni bila ya kikokomo kiswahili mnakitumia vibaya
Ukisikia wehuu ndio huu
Hopeless kabisa,,,niache kununua bando la GB1 halotel la wiki kwa upuuzi wa mb400,,