Nyaku
Member
- Jan 7, 2014
- 65
- 35
Kaka unachuki binafsi, TTCL wanakupa Dk 100 ndanibyq 5 days kwa 1000 wakati tigo anakupa Dk 85 ndani ya 24hrs kwa 1000Mbao za Mawe njoo huku kuna kajamaa kaitwa alfatv wanaitetea kampuni yao ya TTCL wanasema ipo poa sana yaani imetulia.
Ina speed ya 15G kushinda kampuni yeypte hapa Afrika.
Kaka kuwa fair,