TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Huu ubunifu mzuri.
Mkiendelea hivi na huduma zenu zikiwa bora mtapambana sokoni.

Msiwe kama mtandao wa VietCong ule kumpata mtu wa customer care kwa simu ni ngumu kama kukutana na malaika uso kwa uso. Wengi tumetupa SIM card zao.
 
Huu ubunifu mzuri.
Mkiendelea hivi na huduma zenu zikiwa bora mtapambana sokoni.

Msiwe kama mtandao wa VietCong ule kumpata mtu wa customer care kwa simu ni ngumu kama kukutana na malaika uso kwa uso. Wengi tumetupa SIM card zao.

Ku maintain huduma kwa wateja ni tatizo la kitaifa. Na hapo ndio siri ya kufanikiwa kwenye biashara ilipo. Hapa watanipata mkuu, ila huduma ikiwa mbovu wataambulia hiyo ya kununua simu tu, wakati wanaweza kutafuna airtime kwa muda usiojulikana kutokana na matumizi yangu.

Uko salama lakini mkuu? ID yako tu hua inanikumbusha Engineering Science, ilinisaidia sana, nilivyoenda A level nilikua mnyama wa topic ya Mechanics.
 
Ku maintain huduma kwa wateja ni tatizo la kitaifa. Na hapo ndio siri ya kufanikiwa kwenye biashara ilipo. Hapa watanipata mkuu, ila huduma ikiwa mbovu wataambulia hiyo ya kununua simu tu, wakati wanaweza kutafuna airtime kwa muda usiojulikana kutokana na matumizi yangu.

Uko salama lakini mkuu? ID yako tu hua inanikumbusha Engineering Science, ilinisaidia sana, nilivyoenda A level nilikua mnyama wa topic ya Mechanics.
Niko salama mkuu.
Kwenye ku-resolve force ulikuwa unateleza tu.
 
Niko salama mkuu.
Kwenye ku-resolve force ulikuwa unateleza tu.

Acha kabisa, angular motion, turning force , Projectile motion...nilikua najiona kama mdogo wake Newton. Ila Chemistry ilikua inanikimbiza hatari japo niliambulia banda.

Hawa TTCL wana kila sababu ya kufanya vizuri, warekebishe tu mambo madogomadogo wataliteka hili soko.
Kwa mfano hii simu mie ntaitumia zaidi kama wireless router/ modem.
 
Acha kabisa, angular motion, turning force , Projectile motion...nilikua najiona kama mdogo wake Newton. Ila Chemistry ilikua inanikimbiza hatari japo niliambulia banda.

Hawa TTCL wana kila sababu ya kufanya vizuri, warekebishe tu mambo madogomadogo wataliteka hili soko.
Kwa mfano hii simu mie ntaitumia zaidi kama wireless router/ modem.
Mambo madogo kama yapi mkuu?
 
Huu ubunifu mzuri.
Mkiendelea hivi na huduma zenu zikiwa bora mtapambana sokoni.

Msiwe kama mtandao wa VietCong ule kumpata mtu wa customer care kwa simu ni ngumu kama kukutana na malaika uso kwa uso. Wengi tumetupa SIM card zao.
🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
May be an image of text that says 'Furahia Wikiendi na Modem yenye kasi zaidi TTCι Corporation ation TZS 60,000 TU n 4G USB Corporation Kwa maelezo zaidi piga 100 0222 100 100 au tembelea www.ttcl.co.tz ttcl corporation udiNyumbaniKumenoga'


Furahia wikiendi yako ukiwa na Modem ya TTCL yenye kasi zaidi.

SIFA ZAKE:

✅Ina spidi kali ya 4G🔥

✅Ina uwezo wa kuunganisha watu zaidi ya 3

✅Unaweza kuitumia kama USB

GHARAMA:


Gharama ya modem hii ni Tsh 60,000/= tu.

Tembelea kituo chetu chochote cha Huduma kwa Wateja kilichokaribu nawe ili ujipatie yako.
 
May be an image of text that says 'JIPATIE Mi-Fi YENYE KASI YA 4G TTCL Corporation ዋ 4G TTCL TτCι Corporation 4G LIE TZS 110,000 TU Inaunganisha hadi watu 10 Kwa maelezo zaidi piga 100 au 0222 100 100 au tembelea www.ttcl.co.tz ttcl corporation Rudi Nyumbani Kumenoga'


SIFA ZAKE:
✅Spidi ya 4G🔥

✅Inaunganisha watu zaidi ya 10

GHARAMA:
✅Bei ni Tsh 110,000/= tu.

MADUKA YETU:
Tembelea Vituo vyetu vya Huduma kwa Wateja ujipatie Mi-Fi yako kwa huduma Bora za Intanet
 
May be an image of text that says 'JIPATIE Mi-Fi YENYE KASI YA 4G TTCL Corporation ዋ 4G TTCL TτCι Corporation 4G LIE TZS 110,000 TU Inaunganisha hadi watu 10 Kwa maelezo zaidi piga 100 au 0222 100 100 au tembelea www.ttcl.co.tz ttcl corporation Rudi Nyumbani Kumenoga''JIPATIE Mi-Fi YENYE KASI YA 4G TTCL Corporation ዋ 4G TTCL TτCι Corporation 4G LIE TZS 110,000 TU Inaunganisha hadi watu 10 Kwa maelezo zaidi piga 100 au 0222 100 100 au tembelea www.ttcl.co.tz ttcl corporation Rudi Nyumbani Kumenoga'


SIFA ZAKE:
[emoji736]Spidi ya 4G[emoji91]

[emoji736]Inaunganisha watu zaidi ya 10

GHARAMA:
[emoji736]Bei ni Tsh 110,000/= tu.

MADUKA YETU:
Tembelea Vituo vyetu vya Huduma kwa Wateja ujipatie Mi-Fi yako kwa huduma Bora za Intanet
Nataka kujua mfano kuna sehemu mtandao unashika E hamna h+ hii kitu inaweza fanya kazi
 
Niliisusaine ya ttcl sasa nataka kutumia nimeshasahau hata codes zao. Naomba mziweke hapa nirudi nyumbani fastaa
 
Back
Top Bottom