miss_mbeya
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 1,072
- 1,021
Simu za mezani ni bei gani ?Namuona Bujibuji Simba Nyanaume mama D zink Kanungila Karim na Extrovert wakisajili laini pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtajua hamjui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu za mezani ni bei gani ?Namuona Bujibuji Simba Nyanaume mama D zink Kanungila Karim na Extrovert wakisajili laini pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtajua hamjui
TTCL Customer Care njoo hku kna mtjaSimu za mezani ni bei gani ?
Simu za mezani ni bei gani ?
Hahahaha kulaleki nakula bata na bando langu la tam tam plus nguvu ya buku tuNamuona Bujibuji Simba Nyanaume mama D zink Kanungila Karim na Extrovert wakisajili laini pale😂😂😂😂😂
Mtajua hamjui
Namuona Bujibuji Simba Nyanaume mama D zink Kanungila Karim na Extrovert wakisajili laini pale😂😂😂😂😂
Mtajua hamjui
0739464455 na bado sijariridhika na huduma zenu mwaka wa nne sassNamuona Bujibuji Simba Nyanaume mama D zink Kanungila Karim na Extrovert wakisajili laini pale😂😂😂😂😂
Mtajua hamjui
Tatizo nyota..... Nyota zetu kali Kama maji, hata ukiyachukia utayachambiaUna nini lakini😂😂😂😂😂😂
TTCL wanakukosa balaa😁Una nini lakini😂😂😂😂😂😂
Ok mpo porini huko na wanakijiji![]()
Jipatie simu ya mezani kwa matumizi ya nyumbani na ofisini kwa bei nafuu.
Karibu sana
![]()
![]()
![]()
Katibu Tawala Wilaya ya Kwimba Bw. Nyakia Ally (anayesaini) kitabu cha wageni ameipongeza TTCL kwa huduma nzuri na kutoa rai kwa Shirika hilo kuongeza nguvu vijijini. Kilele cha Mbio za Mwenge Kitaifa kinafanyika Chato mkoani Geita.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani Simu ina sifa ya kupiga Simu ?Kuna za 100k na za 150k
Ukinunua za 150k ndio bora zaidi.
Zina sifa hii
WiFi
SMS
Kupiga simu
Intenet
TTCL VIPI BARAKOA?HATA KAMA MMECHANJA BARAKOA NI MUHIMU KWETU NA KWA WATEJA!![]()
Jipatie simu ya mezani kwa matumizi ya nyumbani na ofisini kwa bei nafuu.
Karibu sana
![]()
![]()
![]()
Katibu Tawala Wilaya ya Kwimba Bw. Nyakia Ally (anayesaini) kitabu cha wageni ameipongeza TTCL kwa huduma nzuri na kutoa rai kwa Shirika hilo kuongeza nguvu vijijini. Kilele cha Mbio za Mwenge Kitaifa kinafanyika Chato mkoani Geita.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
T
TTCL wanakukosa balaa😁
Nihudumieni vumbi la Congo pakti moja
Muone Kanungila Karim akupe msaadaHuu mtandao ni shida nimenunua laini juzi kwenye taarifa za usajili kunatokea jina langu kwenye TPesa linatokea jina la mtu mwengine.Nawaambia hawana jibu nazungushwa tu.Nasubiria wiki hii ikiisha tu sijapatiwa ufumbuzi jambo langu najitoa kutumia laini yenu narudi halo.