Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Hio ya 8mbps kwa 1mbps ni Adsl, kama huna option nyengine si mbaya, itafanya mambo ya kawaida vizuri.Chief nataka niunge T-Office Standard ya TTCL, ina 8Mbps kwa 1Mbps. Hii itafaa kweli? Waya upo wanauita FTTH, hapa nanunua modem kwa 55,000 na kufurushi 50,000
Nilitaka ni opt kwa fiber ila iko umbali wa kama mita 250 kutoka home hapa,
Niende na hiyo hiyo t-office, speed yake ikoje?
Hii ni ya fiber sindio? Maana adsl inaishia 12MbpsWako vizuri na hawana longo longo, ninatumia kifurushi cha 40Mbps kutoka TTCL
Asante chief, nimewaza pia hiyo 1Mbps ya upload ndi ndogo mno. Nasubiri wanitumie gharama ya fiber. Ipo umbali wa kama 250m sijajja itakua kiasi ganiHio ya 8mbps kwa 1mbps ni Adsl, kama huna option nyengine si mbaya, itafanya mambo ya kawaida vizuri.
Ila kama Fiber ipo na Gharama ya kuunga si kubwa chukua Fiber, utapata 20mbps download na 10mbps upload kwa hio 50,000.
Kweli kabisa mkuu.Asante chief, nimewaza pia hiyo 1Mbps ya upload ndi ndogo mno. Nasubiri wanitumie gharama ya fiber. Ipo umbali wa kama 250m sijajja itakua kiasi gani
Ila in the long run nadhan fiber itakua investment bora,
Nimekupata chiefKweli kabisa mkuu.
1mbps upload kwa matumizi ya kawaida kuangalia youtube, Netflix, kuperuzi, download za hapa na pale haina neno.
Ila kama unafanya Video calling, youtuber and developer unaye upload mara kwa mara, mambo ya p2p kama Torrent etc itazingua.
Unatakiwa ku restart router, wasiliana na aliekuja kukufungia kama kasave configuration ili usije kupoteza data zako.me nlijiunga kifurushi cha 50k cha ttcl speed ilikuwa nzuri tu kilivyoisha nmejiunga tena cha50k speed imepungua na saingine haifanyi kazi kabisa shida inaweza kuwa nini
shukran sana mkuuUnatakiwa ku restart router, wasiliana na aliekuja kukufungia kama kasave configuration ili usije kupoteza data zako.
Unaingia menu ya router, most of time ni 192.168.1.1 unaandika hio adress kwenye browser na hakikisha upo connected na TTCL yako.
Ukishaingia itakuja sehemu ya Login, user ni admin na pass ni admin, login ingia ndani.
Juu utakuta menu mbalimbali angalia juu kulia kumeandikwa maintenace click hapo.
Chini kushoto utaona neno Reboot, click hapo then click tena reboot itakupa sekunde 64 za kujizima na kuwasha, itawaka ikiwa full speed.
Ni kawaida ya adsl kuzimwa na kuwashwa kila baada ya siku kadhaa, Ni analog hio.
Sema hakikisha unamuuliza jamaa aliekufungia router kama alisave config.
Nimeona tangazo laoKuna wadau hapa wa Ateb Technologies wanaounganisha internet. Je kuna aliyeunga atupe mrejesho?
Wapigie, nimeingia hio website yao haina information za kutosha kabisa, wanajisifia tu wao as a Kampuni ila wanachouza hakina information zozote.
Hawa jamaa wapo humu ila kimya. Wanashindwa pambana kutangaza bidhaa zao na kutatua changamoto.TTCL Customer Care mnaupitia huu uzi mpate wateja?
Gharama ni 100,000/= na 200,000/= kwa mwezi kulingana na spidi unayohitajiWeka mchanganuo wa gharama zao
Coverage?Gharama ni 100,000/= na 200,000/= kwa mwezi kulingana na spidi unayohitaji
Coverage?
Maelezo haya hapa mkuu kwa niaba ya member Elieza MsuyaHabari ndugu..!!
Karibu Katika kampuni pendwa ambayo imekuwa ikitoa huduma ya internet majumbani pamoja na offisini kwa bei Nafuu kabisa.
Ateb technology tunatoa internet yenye spend na kasi ya Hali ya juu ambayo itakuwezesha ku browse na kutumia electronic device Kama kompyuta simu na camera ..!!
Tuna Toa 5mps kwa nyumbani ambayo utaweza ku browse YouTube, video games online, na mambo mengine mengi we we pamoja na familia yako na ndugu zako mkubwa nyumbani
5mbs =100,000/- amabayo utalipa kwa mwezi
Installation cost ni 200,000/- amabyo Italipwa Mara moja.
Larkin pia tunatoa Huduma za internet ua maofisini mpaka MBPS 100 na ni dedicated
Na hii Huduma tunatoa kwa dar na dodoma
Tunapatikana pssf tower
Opposite na Mlimani city
0657451090
0766231496
Karibuni sana
Kuwa makini umekaa utapeli utapeli tu, na wanakusanya id za NidaHii kitu inaukweli wowote wadau