TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Unatumia utakavyo ni unlimited. Tumwahi tumia ofisi kwenye kama mwaka mzima hivi ila kuliko hiyo superkasi ni bora utafute fiber iliyopo karibu tu.

Superkasi ni takataka

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
sio takataka si kweli hii SUPAKASI tulianza kutumia miaka kama miaka 4 au 3 iliyopita mwaka 2019 kipindi hicho kulikuwa na ofa ya elf 60 na ofa ya laki na 20 hivi
hiyo ofa ya laki mnapewe na namba 5 za VODA kupigiana wenyewe kwa wenyewe free
sema yule mdau alochukua ubia na voda akakosa wateja akashindwa huduma ikasuasua tulikuwa tunalipa elf 60 na tulipewa ki MI-FI cha ALCATEL mpk leo kipo
baada kufatilia mbna huduma imekata ghafra VODA ndio wakatuambia sisi hatuhusiki sisi yule tumeingia nae mkataba so tumtafute yule alotuletea kutuunga tulivyochunguza ikaonekana alishindwa kuwalipa VODA sijui wenyewe walikuwa wanalipanaje sijui mana hata mwaka haikudumu
tukapotetezea tukawa tupo na TTCL ila ilikuwa miyeyusho tu
Mwaka jana mwishoni ikafufuka ikaja na hivyo inajiita SUPAKASI nahisi kuna mbia mwingine wameingia nae
Boss nikamtonya akaenda kulipa kama laki 3 hivi na ushee wakatufungia HUAWEI ROUTER na kiantena fulani hivi cha uzushi
basi bana tangu hapo MWENDO MDUNDO haijawahi kutuangusha

labda uniambie kama ulipo ipo ZUKU
Ni kweli ZUKU ni bora kuliko SUPAKASI
7bu ofisi nyingine tumefunga ZUNGU ipo eneo amabalo tuna ACCESS ya ZUKU

TTCL nzuri lakini wale jamaa hawako serious simshauri mtu aende TTCL ni ushuzi flani hivi

HALAFU ZUKU now ishafika MAKUMBUSHO STAND soon tu itafika SINZA tuenjoy
 
Zuku wana lengo la kufika Bunju, Kijichi, Kigamboni, Kimara Kinyerezi hadi December mwaka huu. TTCL kalala

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
TTCL wana Fiber 50,000 20mbps, ila ukifika Ofisini hawaijui, watakuzungusha Huku wakutoe kule, bora siku ziende. Hili Shirika lina Potential sana watafute mtu Serious wamuweke.
 
TTCL wana Fiber 50,000 20mbps, ila ukifika Ofisini hawaijui, watakuzungusha Huku wakutoe kule, bora siku ziende. Hili Shirika lina Potential sana watafute mtu Serious wamuweke.
Mambo ya serikali yanashangaza sana.

Wana uhakika wa kupata mshahara ndo maana wamelala.

Ingekuwa wanaishi kwa targets, sahivi TTCL angekuwa the largest fiber provider in East and Central Africa.
 
Naomba kujuzwa CHIEF MKWAWA Naweza kutumia internet ya TTCL wanayounganisha kwenye ofisi kuconnect devices zang ata napokuwa nje ya ofisi umbali wa m500 hv?
 
Naomba kujuzwa CHIEF MKWAWA Naweza kutumia internet ya TTCL wanayounganisha kwenye ofisi kuconnect devices zang ata napokuwa nje ya ofisi umbali wa m500 hv?
Zipo router zinafika Umbali huo mkuu, sema Wifi inataka kuwe na clear line of sight, kama kuna nyumba, miti, na vizuizi vyengine itakua ngumu.

419emETtt7L._AC_SY780_.jpg

Mfano kama hii zinakuja in Pair moja unaweka mahala ilipo wifi na nyengine unaweka Unapotaka wifi iende range yake ni 1km,

Wifi providers wengi wanazitumia Mjini hizi long range router.
 
TTCL wana Fiber 50,000 20mbps, ila ukifika Ofisini hawaijui, watakuzungusha Huku wakutoe kule, bora siku ziende. Hili Shirika lina Potential sana watafute mtu Serious wamuweke.
Inabidi shirika liuawe, watu watemeshwe kazi.
Afu lifufuliwe upya ila kwa mikataba ya muda,
Waajiri watu wapya wapewe malengo
 
Zuku akisambaa hivi, atakuwa na potential ya kuwa largest fiber provider in dar.

Anahitaji marketing ndogo tu.
Hadi sasa zuku atakuwa anaongoza tuliwahi wafata ttcl wakaja surveying ila wakaanza stori.

Zuku wao wakasema mwezi may tutaanza, kweli bana Mbezi Beach yote wakaweka nguzo zao.

Walipomaliza wakanitafuta wenyewe ili wafanye survey.
 
Zipo router zinafika Umbali huo mkuu, sema Wifi inataka kuwe na clear line of sight, kama kuna nyumba, miti, na vizuizi vyengine itakua ngumu.

View attachment 2246504
Mfano kama hii zinakuja in Pair moja unaweka mahala ilipo wifi na nyengine unaweka Unapotaka wifi iende range yake ni 1km,

Wifi providers wengi wanazitumia Mjini hizi long range router.
Zauzwa bei gani?

Changamoto tuliyokutana nayo routers zetu hazivuki ghorofa moja kwenda ingine
 
Zauzwa bei gani?

Changamoto tuliyokutana nayo routers zetu hazivuki ghorofa moja kwenda ingine
Chini ya laki kwa No name Chinese companies Aliexpress, ambazo nyingi ni Wifi ya N (300mbps), brand nzuri kama Tp link ni Around laki pamoja na Brand hizo za Kichina kwa Wifi ya Ac (1200mbps).
 
sio takataka si kweli hii SUPAKASI tulianza kutumia miaka kama miaka 4 au 3 iliyopita mwaka 2019 kipindi hicho kulikuwa na ofa ya elf 60 na ofa ya laki na 20 hivi
hiyo ofa ya laki mnapewe na namba 5 za VODA kupigiana wenyewe kwa wenyewe free
sema yule mdau alochukua ubia na voda akakosa wateja akashindwa huduma ikasuasua tulikuwa tunalipa elf 60 na tulipewa ki MI-FI cha ALCATEL mpk leo kipo
baada kufatilia mbna huduma imekata ghafra VODA ndio wakatuambia sisi hatuhusiki sisi yule tumeingia nae mkataba so tumtafute yule alotuletea kutuunga tulivyochunguza ikaonekana alishindwa kuwalipa VODA sijui wenyewe walikuwa wanalipanaje sijui mana hata mwaka haikudumu
tukapotetezea tukawa tupo na TTCL ila ilikuwa miyeyusho tu
Mwaka jana mwishoni ikafufuka ikaja na hivyo inajiita SUPAKASI nahisi kuna mbia mwingine wameingia nae
Boss nikamtonya akaenda kulipa kama laki 3 hivi na ushee wakatufungia HUAWEI ROUTER na kiantena fulani hivi cha uzushi
basi bana tangu hapo MWENDO MDUNDO haijawahi kutuangusha

labda uniambie kama ulipo ipo ZUKU
Ni kweli ZUKU ni bora kuliko SUPAKASI
7bu ofisi nyingine tumefunga ZUNGU ipo eneo amabalo tuna ACCESS ya ZUKU

TTCL nzuri lakini wale jamaa hawako serious simshauri mtu aende TTCL ni ushuzi flani hivi

HALAFU ZUKU now ishafika MAKUMBUSHO STAND soon tu itafika SINZA tuenjoy
Ipo zuku na ndio tunatumia kwa sasa

Superkasi tumetunia mwaka mzima ya up to 20mbps.

Niliterminate nao tukahamia Capita Technologies ya 10 dedicated. Shida ikawa antena inapata interference sana. Now tumehamis Zuku ni motoooooo

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Zipo router zinafika Umbali huo mkuu, sema Wifi inataka kuwe na clear line of sight, kama kuna nyumba, miti, na vizuizi vyengine itakua ngumu.

View attachment 2246504
Mfano kama hii zinakuja in Pair moja unaweka mahala ilipo wifi na nyengine unaweka Unapotaka wifi iende range yake ni 1km,

Wifi providers wengi wanazitumia Mjini hizi long range router.
Nashukuru Mkuu kwa majibu yako mazuri maana nilimuuliza mtu wa TTCL akanipa majibu ambayo kidogo nimtukane ila nkaheshimu office yake.
 
post: 42794923 said:
Chini ya laki kwa No name Chinese companies Aliexpress, ambazo nyingi ni Wifi ya N (300mbps), brand nzuri kama Tp link ni Around laki pamoja na Brand hizo za Kichina kwa Wifi ya Ac (1200mbps).
@chief mkwawa Pitapita zangu kule soko letu la wachina nmekutana na hzi naomba ushauri wako.

View attachment 2247698
 

Attachments

  • Screenshot_20220601-235135_Alibabacom.jpg
    Screenshot_20220601-235135_Alibabacom.jpg
    53.6 KB · Views: 64
Naona Devices nying zinasema kuwa na Free Barrier sasa naomba kujua je kama kuna nyumba za kawaida sio magorofa alaf nimezifunga kwa distance ya 3km maana nmeona zingne zinaenda mpka 5km je ntaweza kupata internet vizur.
Nataka nifunge Ofisin niwe natumia na nyumban hz bundle za mitandao zimenichosha CHIEF MKWAWA
 
Kuna hawa jamaa wanaitwa network solution nmeonaga bei zao nzuri na wanakuja kufunga antenna kwako ila sijawahi kutumia. Nan amewah ?
Screenshot_20220602-062944_Chrome.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220602-070946_Chrome.jpg
    Screenshot_20220602-070946_Chrome.jpg
    55.3 KB · Views: 60
  • Screenshot_20220602-070953_Chrome.jpg
    Screenshot_20220602-070953_Chrome.jpg
    57.3 KB · Views: 58
  • Screenshot_20220602-071002_Chrome.jpg
    Screenshot_20220602-071002_Chrome.jpg
    50.4 KB · Views: 60
Back
Top Bottom