TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Nimeunganisha internet ya TTCL ya Adsl na niliwaambia wanipe package ya 25k ya mb 4 nikamuuliza muunganishaji kwa uhalisia hizo mb 4 zinafika? Akajibu ni 2 au 3. Ila tangu waniungie nadownload kwa idm haijawahi kuvuka kb500. Nimewasiliana nao ila majibu yao eti speed itajiongeza yenyewe. Naogopa kulipia 50k isije ikawa speed ni ileile. Au kama kuna mtaalam wa mambo hayo anipe mwongozo.
Mbps (Megabits per second / Megabits kwa sekunde)
hii inatumika kupima speed ya internet kwa wanaotoa huduma ya internet kama ttcl.

MBps - (Megabytes per second / Megabytes kwa sekunde)
hizi ndio MB tulizozoea, zina herufi kubwa MB huwa tunaziona tunapo download mafaili, mfano ukitaka kudownload mziki wnye MB 4 basi spidi ikiwa ni MB 1 kwa sekunde itachukua sekunde 4 kumaliza kudownload.

1 Mbps = 0.125 MBps

ukienda ttcl kunua kifurushi chochote inabidi uzidishe mara 0.125 ili upate speed tuliyoizoea ya MB kwa sekunde, mfano kifurushi cha Mbps 4 ukizidisha kwa 0.125 unapata speed inayofikia ama nayokaribia MB 0.5 kwa sekunde sawa na KB 500 kwa sekunde,

Kwahio wala huna cha kulalamika.

Cha kukushauri labda kama upo eneo lenye fiber omba uwekewe kifurushi cha chini kabisa cha 10 Mbps ambazo ukizidisha kwa 0.125 unapata MB 1.250 kwa sekunde.
 
jua tofauti ya

1.Mbps (Mega bits kwa sekunde)

2.MBps (Mega bytes kwa sekunde)

spidi yao inapimwa kwa megabits, sio megabytes tulizozoea kuziita MB.... Hizo Mb za herufi ndogo ni megabits na ili upate speed yake kwa Mega bytes kwa njia rahisi ya makadirio ni kugawanya kwa 10..

Hio 4 Mbps / 10 = 0.4 MBps (Kilobytes 400 kwa sekunde)

Kwahio wala huna cha kulalamika kuhusu speed kitofika 500 knps
me nmeanza na cha 50 sio kibaya na tka nijaribu cha 80 hiki kikiisha
 
me nmeanza na cha 50 sio kibaya na tka nijaribu cha 80 hiki kikiisha
cha 50 kwa fiber ni 10 (Mbps) Megabits kwa sekunde. ukizileta ziwe Megabytes zile za kudownload hapo unaweza kushusha MB 1.25 kwa sekunde.. ni speed nzuri tu wala haina shida na unaweza kustream vizuri tu.

hicho cha 80 ongeza kama speed hio ya MB 1.2 kwa sekunde haikutoshi ama mpo wengi mnaoitumia kitu kinachochangia speed mnayogawana ishuke
 
-Mbps - hii inatumika kupima speed ya internet kwa wanaotoa huduma ya internet kama ttcl.

-MBps - hizi ndio MB tulizozoea, zina herufi kubwa MB huwa tunaziona tunapo download mafaiki,

Speed unayoiona pale ttcl ni Mb sio MB tuliyozoea, hivyo ukiona ni 4 Mbps usifikiri kwamba ni speed ya kudownload MB hizi tulizozoea

Mb (Megabits) hizi za herufi ndogo ni megabits na ili upate speed yake kwa Megabytes (MB)

1 Mbps = 0.125 MBps

kwa hio hicho kifurushi cha 4 Mbps ukizidisha kwa 0.125 unapata speed ya kudownload 0.460 MBps (460 KBps)

Kwahio wala huna cha kulalamika.

Kwenye fiber yao ya chini kabisa ni 10 Mbps ambazo ni 1.250 MBps speed ya kudownload.
Madini tupu.
 
Idm ni 500 kilobytes na hio wanayosema 4mbps ni 4 megabits.

Byte 1 ni bits 8.

500KB x8 ni approximate 4mbps.

Hivyo speed unayopata ni sawa.

Youtube si unapata 720p fresh?
Kila kitu kiko sawa, live streaming haigandi ila sijajaribu 1080p tu. Inapokuja swala la kudownload file kubwa ndo inabidi kusubiri, na files nyingi ninazodownload zinaanzia 2gb hadi gb7. Kuna kipindi idm ilisoma 1Mb ndani ya sekunde kadhaa na kurudi hiyo kb500 haijarudia tena. Nitajaribu kuhamia kifurushi cha 50k nione.
 
-Mbps - hii inatumika kupima speed ya internet kwa wanaotoa huduma ya internet kama ttcl.

-MBps - hizi ndio MB tulizozoea, zina herufi kubwa MB huwa tunaziona tunapo download mafaiki,

Speed unayoiona pale ttcl ni Mb sio MB tuliyozoea, hivyo ukiona ni 4 Mbps usifikiri kwamba ni speed ya kudownload MB hizi tulizozoea

Mb (Megabits) hizi za herufi ndogo ni megabits na ili upate speed yake kwa Megabytes (MB)

1 Mbps = 0.125 MBps

kwa hio hicho kifurushi cha 4 Mbps ukizidisha kwa 0.125 unapata speed ya kudownload 0.5 MBps (500 KBps)

Kwahio wala huna cha kulalamika.

Kwenye fiber yao ya chini kabisa ni 10 Mbps ambazo ni 1.250 MBps speed ya kudownload.
Mkuu asante kwa maelezo yako nimeelewa, mwanzo ilikuwa inanichanganya.
 
Connect kimbembe kipo kwenye installation costs ambazo nilipewa invoice ya Tzs 1084k.
 
Kila kitu kiko sawa, live streaming haigandi ila sijajaribu 1080p tu. Inapokuja swala la kudownload file kubwa ndo inabidi kusubiri, na files nyingi ninazodownload zinaanzia 2gb hadi gb7. Kuna kipindi idm ilisoma 1Mb ndani ya sekunde kadhaa na kurudi hiyo kb500 haijarudia tena. Nitajaribu kuhamia kifurushi cha 50k nione.
Kwa cha 50k idm itasoma 1MBps
 
Connect 16

0763 476 565

Gharama zao unalipia kifurushi 70000 wanafunga device zao wenyewe

Sisi tumefunga cha 150,000 speed si mbaya.

Wanatumia sat
So hawa wa kutumia satelite hadi nje ya mji wanaweza wakawa wanafika
 
Ttcl ni bora ila hizo price ulizipewa ni zashared package...na shared package ni unlimit package ila wauziwa bandwith na device zinavo obgezeka na speee inapungua so kama mnatumia wengi ni heri uchukue dedicated ambayo inakuwa wote mnapata same speed ata muwe 100
 
Back
Top Bottom