TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Ttcl ni bora ila hizo price ulizipewa ni zashared package...na shared package ni unlimit package ila wauziwa bandwith na device zinavo obgezeka na speee inapungua so kama mnatumia wengi ni heri uchukue dedicated ambayo inakuwa wote mnapata same speed ata muwe 100

Ukinunua shared maana yake data link moja kampuni yako (ISP) anaunganisha zaidi ya mtu mmoja. Hivyo speed sometimes inachange kutokana na matumizi ya watu mliopo kwenye datalink moja.

Upande wa dedicate ni kuwa mnapewa dedicated data link. Kama ukinunua 10mbps basi itakua ni stable na wala haitashuka. Ila mkianza kutumia ndani kwenye local network yako mnagawana hizo 10 sio kwamba kila pc kwenye local network inapata 10.

Asante
 
Zuku Fiber[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Tunalipia upto 40 ila wametupa ofa ya kulipa mapema mpaka 100mbps..

IMG-20220520-WA0007.jpg
 

Attachments

  • IMG-20220528-WA0018.jpg
    IMG-20220528-WA0018.jpg
    19.1 KB · Views: 72
Zuku Fiber[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Tunalipia upto 40 ila wametupa ofa ya kulipa mapema mpaka 100mbps..

View attachment 2242451
Yah jamaa wana Offer kama sio TZ vile, usipolipia mwezi unashangaa sms inaingia ulipie nusu tu ya bei. Mimi mwaka sasa hivi nalipia 69000 ila napata 20mbps kama ofa badala ya 10mbps.
 
Connect 16

0763 476 565

Gharama zao unalipia kifurushi 70000 wanafunga device zao wenyewe

Sisi tumefunga cha 150,000 speed si mbaya.

Wanatumia sat

Konnect installation fees ni 1.6 m. Kwa dar. Mkoani laki tatu c ufara
 
IMG_0683.jpg

IMG_0684.jpg

Hawa ni satellite internet but nashindwa kujua kwanini installation fees ni ndogo kwa baadhi ya mikoa na mikubwa kwa mikoa mingine
 
View attachment 2242718
View attachment 2242719
Hawa ni satellite internet but nashindwa kujua kwanini installation fees ni ndogo kwa baadhi ya mikoa na mikubwa kwa mikoa mingine
Walikuwa na offer ukilipia mwaka Installation ni bure.

Kama upo dar no need Kuchukua konect sababu kuna Alternatives ambazo ni nzuri zaidi, Satelite internet inafaa maeneo ambayo mitandao ya simu haijafika.

Utofauti wa Bei sijajua unatokana na nini ila wizi pia unachangia, kwa dar watu wakilipa laki 3 watasepa na Vifaa wakafungie Azam Tv na kazi nyengine.

Pia Kuwa makini Vifurushi vyao Sio unlimited kwa hio speed. Kuna mdau alileta mchanganuo wake humu

img_4881-png.2202032


Pitia zaidi hapa


Kifupi 60,000 ni 1mbps na
175,000 ni 2mbps
225,000 ni 3mbps

Si mbaya kama unaishi maporini huko, ila Mjini TTCL Adsl, Voda superkasi na Fiber mbalimbali ni nzuri zaidi.
 
Yah jamaa wana Offer kama sio TZ vile, usipolipia mwezi unashangaa sms inaingia ulipie nusu tu ya bei. Mimi mwaka sasa hivi nalipia 69000 ila napata 20mbps kama ofa badala ya 10mbps.
[emoji23][emoji23][emoji23]biashara ngumu. Kupata wateja ni shida sana. Nilisikia ni part ya Simba Net eti


Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Ttcl ni bora ila hizo price ulizipewa ni zashared package...na shared package ni unlimit package ila wauziwa bandwith na device zinavo obgezeka na speee inapungua so kama mnatumia wengi ni heri uchukue dedicated ambayo inakuwa wote mnapata same speed ata muwe 100
TTCL wameridhika sana
 
Walikuwa na offer ukilipia mwaka Installation ni bure.

Kama upo dar no need Kuchukua konect sababu kuna Alternatives ambazo ni nzuri zaidi, Satelite internet inafaa maeneo ambayo mitandao ya simu haijafika.

Utofauti wa Bei sijajua unatokana na nini ila wizi pia unachangia, kwa dar watu wakilipa laki 3 watasepa na Vifaa wakafungie Azam Tv na kazi nyengine.

Pia Kuwa makini Vifurushi vyao Sio unlimited kwa hio speed. Kuna mdau alileta mchanganuo wake humu

img_4881-png.2202032


Pitia zaidi hapa


Kifupi 60,000 ni 1mbps na
175,000 ni 2mbps
225,000 ni 3mbps

Si mbaya kama unaishi maporini huko, ila Mjini TTCL Adsl, Voda superkasi na Fiber mbalimbali ni nzuri zaidi.
Hivi hii superkasi ya voda naweza tumia zaidi ya 100GB kwa mwezi bila tatizo?
 
Kwa Feedback za wadau inawezekana mkuu. Ni unlimited ya kweli japo sijajua kama kuna Hiddent terms somewhere.
Unatumia utakavyo ni unlimited. Tumwahi tumia ofisi kwenye kama mwaka mzima hivi ila kuliko hiyo superkasi ni bora utafute fiber iliyopo karibu tu.

Superkasi ni takataka

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
hapana sio unlimted nilikuwa nakuonesha tu hyo speed yke upande wa downloads
Hizi fiber na Plan nyengine unlimited ni mfuko wako tu, Fiber inafika hadi 10GBPs ambayo ni roughly mara 250 ya Speed uliopost.

Watu wananunua hizo 10mbps ama 20mbps sababu zinatosha matumizi ya kawaida.
 
Hizi fiber na Plan nyengine unlimited ni mfuko wako tu, Fiber inafika hadi 10GBPs ambayo ni roughly mara 250 ya Speed uliopost.

Watu wananunua hizo 10mbps ama 20mbps sababu zinatosha matumizi ya kawaida.
duuh 10GBper sec[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hivi hii superkasi ya voda naweza tumia zaidi ya 100GB kwa mwezi bila tatizo?
huyo mm tu kwa mwezi huu na hiyo simu tu acha PC ambayo ndo nashusha mizigo ya maana
kuna siku katika miezi iliyopita nilishusha GB kam 24 hivi kwa siku 1 kuanzia saa 4 mpk saa 11 jioni nilikuwa nafanya mafekeche yangu TORRENT
mara ya mwisho kucheck data usage ya HUAWEI ROUTET ile tulikuwa tushatumia kama 2tb hivi ndani ya miezi tatu tangu tufunge hii hap ofissin
Screenshot_20220531-095546_Settings.jpg
 
Back
Top Bottom