Mkuu naomba Namba ya mtu survey wa Ttcl nishajaza form Yao ila najua itachukua muda...Nimpe hela ya maji..Nipo MwengeSidhani kama ni kweli, issue ni kwamba walikuwa hawana Router, ongea na fundi ama kanunue mwenyewe router, kifurushi kipo vile vile.