Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Uliwahi niambia kitu kuhusu zuku. Hakika hujakosea.Mi niliweka Adsl ya 25,000 mkuu, Fiber ninayo ya Zuku.
Mimi nina namba ya jamaa anaefanya survey mitaa ya kwetu unawasiliana nae anatafuta mda anakuja.
Tunalipia up to 40mbps kwa 129k , hii kitu ina speed ya kufa mmasai.
Kudownload vigb kama kunusa tu.