TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Kama graphics Designer natumia Hp Probook na simu tu, je unarecommend hii?

Kingine natumia kupakua Software, kuupdate PC, na movies.

Inanifaa au vipi?
Inategemea upo tayari kusubiria kwa muda gani, movie dk 30 mpaka saa 1 kudownload. Netflix inastream kwa 720p na youtube.

Software inategemea na ukubwa GB kadhaa inabidi usubirie over night, kama ni mb chache tu inadownload.

Ku update pc si issue.
 
Inategemea upo tayari kusubiria kwa muda gani, movie dk 30 mpaka saa 1 kudownload. Netflix inastream kwa 720p na youtube.

Software inategemea na ukubwa GB kadhaa inabidi usubirie over night, kama ni mb chache tu inadownload.

Ku update pc si issue.
Thanks Boss
 
Inategemea upo tayari kusubiria kwa muda gani, movie dk 30 mpaka saa 1 kudownload. Netflix inastream kwa 720p na youtube.

Software inategemea na ukubwa GB kadhaa inabidi usubirie over night, kama ni mb chache tu inadownload.

Ku update pc si issue.
Movie moja dk 30? Duh! Noma hiyo.
 
Sijatumia Fiber ya TTCL ila sijawahi ona Tanzania Fiber yoyote inayo operate kwa Chini ya kiwango, Zuku wenyewe ukiwa mlipaji mzuri wana double speed, ina maana Hakuna wateja wanaoweza kui overload.

Hapa naongelea Fiber mkuu, kama ni Internet nyengine inaweza kuwa slow.
Recommend fiber nzuri haijalishi gharama mkuu
 
Recommend fiber nzuri haijalishi gharama mkuu
Swali gumu mkuu, ila Kwa Tanzania hakuna Anaemfikia TTCL sababu yeye ndio amepewa Mamlaka na Serikali na makampuni mengi yananunua kwake. Ana uwezo wa kukupa speed hata ya mamia ya GB kwa sekunde.

Wengine Simbanet wapo vizuri hasa kwenye Maofisi, wanatoa Dedicated internet na pia wana intranet incase ofisi zako zipo mahala tofauti tofauti Tanzania.

Raha (liquid) wapo wapo vizuri hasa kama shughuli zako zipo ndani ya Africa jamaa wamejitahidi kusambaza waya maeneo mengi.

Mwisho Zuku kwa Mteja wa kawaida wapo vizuri na customer care yao na offer zao ni nzuri.

Kwa uzoefu wangu mkuu nimetumia Fiber zote hizo kasoro TTCL tu, Fiber Tanzania bado hazijajaa na wateja ni wachache, hivyo yoyote utakayotumia itakupa speed ya maana, mfano hao zuku ukilipa vizuri wana double speed. Hii inaonesha capacity yao haijajaa kabisa.

Hivyo kwa sasa angalia tu mtaa wako fiber gani ipo chukua, ni tech ya kisasa tofauti Na mitandao ya simu ama adsl, haina mambo ya kudrop speed sana.
 
Swali gumu mkuu, ila Kwa Tanzania hakuna Anaemfikia TTCL sababu yeye ndio amepewa Mamlaka na Serikali na makampuni mengi yananunua kwake. Ana uwezo wa kukupa speed hata ya mamia ya GB kwa sekunde.

Wengine Simbanet wapo vizuri hasa kwenye Maofisi, wanatoa Dedicated internet na pia wana intranet incase ofisi zako zipo mahala tofauti tofauti Tanzania.

Raha (liquid) wapo wapo vizuri hasa kama shughuli zako zipo ndani ya Africa jamaa wamejitahidi kusambaza waya maeneo mengi.

Mwisho Zuku kwa Mteja wa kawaida wapo vizuri na customer care yao na offer zao ni nzuri.

Kwa uzoefu wangu mkuu nimetumia Fiber zote hizo kasoro TTCL tu, Fiber Tanzania bado hazijajaa na wateja ni wachache, hivyo yoyote utakayotumia itakupa speed ya maana, mfano hao zuku ukilipa vizuri wana double speed. Hii inaonesha capacity yao haijajaa kabisa.

Hivyo kwa sasa angalia tu mtaa wako fiber gani ipo chukua, ni tech ya kisasa tofauti Na mitandao ya simu ama adsl, haina mambo ya kudrop speed sana.
Tatizo la ZUKU hawajasambaa sana, wamejifunga mno, walitakiwa wafike hata Ubungo, Bunju, Mbagara, Airport, Kigamboni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la ZUKU hawajasambaa sana, wamejifunga mno, walitakiwa wafike hata Ubungo, Bunju, Mbagara, Airport, Kigamboni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu ila issue miundombinu. Huko Bunju bado sana, ila Ubungo, Airport, Kigamboni soon Zitakua Covered, inaweza isiwe Zuku ila TTCL nafikiri wameshaweka miundombinu.
 
zuku fiber wapo vizuri, malipo kuanzia 70/month.. nashauri wengine watumie hiyo kama inapatikana mahali ulipo! ,

Pia miundombinu ya fiber kwa kampuni mbali mbali imeshafika ...maeneo mengi japo huduma bado..so soon hizi internet watu wa mbali na Mjini...wataanza kuzipata
 
zuku fiber wapo vizuri, malipo kuanzia 70/month.. nashauri wengine watumie hiyo kama inapatikana mahali ulipo! ,

Pia miundombinu ya fiber kwa kampuni mbali mbali imeshafika ...maeneo mengi japo huduma bado..so soon hizi internet watu wa mbali na Mjini...wataanza kuzipata
Tatizo lenu ZUKU mnaacha maeneo kama Mbezi Beach, Kigamboni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daa, sometimes unaweza kudhani upo New York na sometimes unaweza kudhani upo bongo, imagine mtu anataka internet ya 100k kwa mwezi just for home use yaani!
Mzee piga hesabu za mabando yanavyoisha na bei zake plus kazi zako, kwa mwezi ni zaidi ya hapo, ndio maana tupo tayari kumwaga 50k, 60k, 70k mpaka 100k kupata Unlimited
 
Mzee piga hesabu za mabando yanavyoisha na bei zake plus kazi zako, kwa mwezi ni zaidi ya hapo, ndio maana tupo tayari kumwaga 50k, 60k, 70k mpaka 100k kupata Unlimited
Daaa; sijawahi kuzidisha 30k kwa mwezi; labda sema nini, nikiwa kazini natumia internet ya mwajiri
 
Back
Top Bottom