TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Fiber siku zote itakua juu kuliko wireless solution, kuna mdau pia alileta humu voda wana fiber, pia kuna Raha/Liquid kama matumizi ni ya kiofisi, Fiber yao huja na Extra Bemefits pia ni rahisi inaanzia 50,000.
Ofisini kwetu huku Mwanza tunawatumia hawa Liquid Intelligent Technologies ki ukweli awali walikua vizuri sana kwa upande wa speed ila kwa sasa throtting kibao kuna wakati mpaka mtu unatamani kununua bando la kawaida kabisa, users hatuzidi hata 15..
 
Ofisini kwetu huku Mwanza tunawatumia hawa Liquid Intelligent Technologies ki ukweli awali walikua vizuri sana kwa upande wa speed ila kwa sasa throtting kibao kuna wakati mpaka mtu unatamani kununua bando la kawaida kabisa, users hatuzidi hata 15..
Liquid ndio raha, ni fiber ama tech nyengine?
 
Wakikufungia hiyo ttcl mwaka huu njoo nikupe laki 1

Mi bado sijafungiwa hadi nikaona nichukue Supakasi.
Ila kwa namna nilivyokuwa naongea na Surveyor wa TTCL ukiwa karibu na nguzo inakuwa ni rahisi zaidi kuja kukufungia ikiwa mbali ni changamoto.

Mwanzoni niliambiwa vifaa hamna ila vinaingia mwezi ujao kuwa mbumilivu mwezi ujao nikaambiwa mwingine ulivyofika na huo Surveyor akaniambia Bro wanaohitaji huduma ni wengi na vifaa vipo ila shida ni fiber yenyewe ndio hamna hivyo kama unaweza jiongeza Tafuta sehemu wanauza fiber tuite tuje tuikague ndio ununue.
Nikamuuliza naweza pata wapi hapa mjini yeye mwenyewe hajui, bei yake kashindwa kukadiria.

Aliniambia Ili wanilitee fiber zinahitajika nguzo mbili ila hiyo ni juu yao kwa sababu wana project ya kupeleka fiber kwenye shule nyingine hivyo budget ya nguzo itajumlishwa humo humo.
Nikipiga mahesabu ya haraka haraka google map inasema kutoka kwangu hadi kwenye junction box ya fiber ni mita 180 kikawaida fiber haiendi tu moja kwa moja lazima kuwa slack nikakadiria mita 40. Hivyo jumla 220m nikafanya window shoping alibaba nikakadiria mita moja yaweza kuwa 3000.

Kwa makadirio hayo tu nikaona ni heri nichukue Supakasi tu hadi baadae nikaja kuona IG ads fiber 1000 kwa mita.

Nina mpango wa kuhama nitafute nyumba iliyo karibu na nguzo zao halafu niombe tena maana sasa hivi siangalii speed tena ninachotaka zaidi ni Latency nzuri tu.
 
Mi bado sijafungiwa hadi nikaona nichukue Supakasi.
Ila kwa namna nilivyokuwa naongea na Surveyor wa TTCL ukiwa karibu na nguzo inakuwa ni rahisi zaidi kuja kukufungia ikiwa mbali ni changamoto.

Mwanzoni niliambiwa vifaa hamna ila vinaingia mwezi ujao kuwa mbumilivu mwezi ujao nikaambiwa mwingine ulivyofika na huo Surveyor akaniambia Bro wanaohitaji huduma ni wengi na vifaa vipo ila shida ni fiber yenyewe ndio hamna hivyo kama unaweza jiongeza Tafuta sehemu wanauza fiber tuite tuje tuikague ndio ununue.
Nikamuuliza naweza pata wapi hapa mjini yeye mwenyewe hajui, bei yake kashindwa kukadiria.

Aliniambia Ili wanilitee fiber zinahitajika nguzo mbili ila hiyo ni juu yao kwa sababu wana project ya kupeleka fiber kwenye shule nyingine hivyo budget ya nguzo itajumlishwa humo humo.
Nikipiga mahesabu ya haraka haraka google map inasema kutoka kwangu hadi kwenye junction box ya fiber ni mita 180 kikawaida fiber haiendi tu moja kwa moja lazima kuwa slack nikakadiria mita 40. Hivyo jumla 220m nikafanya window shoping alibaba nikakadiria mita moja yaweza kuwa 3000.

Kwa makadirio hayo tu nikaona ni heri nichukue Supakasi tu hadi baadae nikaja kuona IG ads fiber 1000 kwa mita.

Nina mpango wa kuhama nitafute nyumba iliyo karibu na nguzo zao halafu niombe tena maana sasa hivi siangalii speed tena ninachotaka zaidi ni Latency nzuri tu.

Hata ukihama watakuzingua, mi nguzo ipo pembeni ya ukuta wangu, ni wahuni tu.
 
Mkuu kama una connection na hao jamaa watoeni kwenye mishahara wawekeni kwenye comission based,

Kuna dogo wa Zuku aliniambia ukiniletea wateja watano nakupa laki, ina maana yeye anapata zaidi ya hiyo, ndio maana hawa jamaa ukitaka tu internet wanakuja faster, watu wengi zaidi wanaohudumia ndio jinsi wanapata hela nyingi zaidi.

Ttcl mfanyakazi afunge ama asifunge mshahara upo mwisho wa mwezi anakuwa hana morali ya kufanya kazi kwa bidii zaidi.
Taasisi za serikali zingefanya kazi kwa commision maringo yasingekuwepo
 
Bure, ila wakija kufunga, nitakupa zawadi ya laki, niliwaambia nipo tayari hata kulipia, hapana ni bure, kila siku tutakuja, mwaka unaelekea kuisha, na cable ipo hapa nje

Hii imenikumbusha nilivyopigaga simu TTCL METRO.
Nimepiga simu ili nijue hali ikoje maana ni muda napigwa calender ya vifaa.
Majibu yake yanavyokuja anaonekana na yeye hajui chochote kuhusiana na vifaa ananiambia vumilia tu vitakuja watakufungia serveyor si amekuambia vinakuja.

Nilipata namba ya mtu anaehusika na eneo langu nikamuuliza kuhusu vifaa kama mtu ana router yake inasupport fiber si mnamfungia chap tu. Alikataa akasema lazima watumia vifaa vyao hicho cha kwako kitunze tu maybe kinaweza kikaja kutumika siku router yetu ikiungua labda, pia vifaa vinavyoitajika sio router tu.
Nikakumbuka kumbe SFP nayo inahitajika hapo.
 
Taasisi za serikali zingefanya kazi kwa commision maringo yasingekuwepo

Wa outsource kazi. Mambo yataenda vizuri.
Makampuni huwa yana outsource kazi fulani ili kuounguza gharama na kuongeza utendaji wa kazi nzuri.
Mfano kampuni inasema ukiniunganishia wateja wa 5 kwa mwezi nakulipa kiasi fulani ukiunga 6 nakuendelea kuna bonus zaidi ila ukishindwa kifikisha wa 5 nakukata kiasi fulani.
So hivyo ndio wanaenda wao huwa wanaita SLA - Service Level Agreement.
 
Chief hiyo wireless fibre nayo bei ni iyo na Gharama ya vifaa pia za kwao?
Unaweza kuweka picha ya wireless fibre vifaa vyake?
Zuku ni free wanakupa router ambayo inafungwa ndani kwako ila waya unatokea nje kwenye nguzo. Hawa Hai wanamifumo kama ya zuku ila shida yao wanakichaji gharama za ziada pumbavu zao. Wanakuchaji kuanzia mita za waya tokea kwenye nguzo, zile router na kila kifaa wanachofunga. Hapa ndipo wanazingua.
 
Hatimae nimefungiwa Ttcl fiber jana.
Nimefungiwa na mm jana ila wachawi bado hawafanyi kazi
PXL_20230415_150059385.jpg
 
Back
Top Bottom