TTCL home Internet Installation Manual

nikajua kuna namna tofauti na fiber na copper kwamba kupitia mnara pekee wanaweza kukufungia router zao ndo hizo bei
Wanayo pia TTCL unlimited ya 4G sema coverage yao ilikua maeneo machache sina uhakika wapi na wapi ipo pia bei ilikua ndefu zaidi ya laki 2.
 
Njoo nikuuzie radio niliuziwa laki 8 we njoo na nusu yake tu 400000 nikupe mana ipo tu inanyewa na kunguru.
 
Njoo nikuuzie radio niliuziwa laki 8 we njoo na nusu yake tu 400000 nikupe mana ipo tu inanyewa na kunguru.
Nilishafunga mwezi wa tatu huh....nakula net ya TTCL Kwa 55k kwa mwezi....

Ni hela ya kubeti hiyo nimetumia kufunga....wala sikuwahi kuwaza ipo siku ntakuja kufunga internet home.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…