Tetesi: TTCL mbioni kupandisha gharama ya vifurushi

Tetesi: TTCL mbioni kupandisha gharama ya vifurushi

James Hadley Chase

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
1,984
Reaction score
3,695
lile shirika linaloshika namba 1 kwa kupendwa na watu wengi😝😝😝 katika masuala ya mawasilano hapa nchini, TTCL Corporation lipo njiani kufanya mabadiliko ya vifurushi vyao.

Mabadiliko hayo yanategemewa kufanyika mabadiliko ya vifurushi vyao ndani ya siku 3 zijazo kuanzia sasa😅😅
NB; Ukipita ofisin kwao mabango kama yote oooh fiber mlangoni kwako, kumbe vifaa vya kukufungia hiyo Fiber hakuna kabisa, mimi leo hii natimiza siku ya 37 wananiahidi wanakuja kunifungia lakini wapi?

Tujiandae kisaikolojia tu NyumbaniKumenoga😝😝😝
 
Me mwenyewe nina mwezi sasa tangu nijaze fomu na mpaka Leo hata surveyor kuja kufanya survey hajaja. Hili shirika halipo serious.
 
Me mwenyewe nina mwezi sasa tangu nijaze fomu na mpaka Leo hata surveyor kuja kufanya survey hajaja. Hili shirika halipo serious.
Wanahitaji maombi ya siku 7 kavu hao,otherwise hawabadiliki ng'oo
 
Ngoja hiyo tarehe 18 ifike tuone walikuwa wanamaanisha nini kusema "tunaboresha vifurushi vyetu"
 
Hakuna watu wapuuzi kama TTCL yani sometimes na wish bora ofisi zao zilipuke waanze na moja.

Nimeanza kufatilia huduma ya copper since April nimepigwa kalenda, sikuchoka niliwatafuta tena na tena mpaka wakaja kufanya survey.

Survey yenyewe ikafanyiwa kihuni wao kwa wao wanabishana, mwingine anasema hili eneo copper zake zina loop holes tukifunga internet itakuwa ON&OFF

Mwingine anampinga mwenzake kuwa hiyo haiwezekani akimtaja mtu wa eneo langu kama mfano ambaye alifungiwa na kuwa haimsumbui.

Mwisho wakaniambia nichague fiber, fiber nikashindwa gharama zilikiwa kinanda lakini pia wakaniambia unaweza sikilizia maana tupo katika mchakato wa kupunguza cost za Fiber.

Baada ya mwezi kupita nilipigiwa simu na TTCL kuwa huduma ya Fiber ni bure kama hujaunganishwa na internet tunaweza kukuhudumia.

Ila huko mtaani at least mjikusanye muwe angalau 10 tuje kuwafanyia installation, nikasema hilo halina shida.

Mwisho nikaanza kuwatafuta tena, kila siku wanasema wanakuja lakini kimya. Nikajaribu kwenda hadi ofisini kwao wakanijazisha fomu upya lakini wapi, hawakuja.

Nimeenda ofisini kwao tena na tena yani mpaka nimeanza kuwajua wafanyakzi wa pale, na wao wakioniona tu wanasema "umekuja tena basi leo ndio mwisho lazima uhudumiwe"

Juzi nilipoona humu TTCL wameanzisha kiuzi chao nikawajibu vibaya, yani wanatuona siye watoto.

Ila wangesikia ni waziri fulani anataka huduma fulani wasingesema habari za survey wala kumchelewesha.
 
lile shirika linaloshika namba 1 kwa kupendwa na watu wengi😝😝😝 katika masuala ya mawasilano hapa nchini, TTCL Corporation lipo njiani kufanya mabadiliko ya vifurushi vyao.

Mabadiliko hayo yanategemewa kufanyika mabadiliko ya vifurushi vyao ndani ya siku 3 zijazo kuanzia sasa😅😅
NB; Ukipita ofisin kwao mabango kama yote oooh fiber mlangoni kwako, kumbe vifaa vya kukufungia hiyo Fiber hakuna kabisa, mimi leo hii natimiza siku ya 37 wananiahidi wanakuja kunifungia lakini wapi?

Tujiandae kisaikolojia tu NyumbaniKumenoga😝😝😝
Wanazipandishia taasisi za serikali.
 
Mkuu kwahio tatizo ni vifurushi kukwea gharama ama?
 
lile shirika linaloshika namba 1 kwa kupendwa na watu wengi[emoji13][emoji13][emoji13] katika masuala ya mawasilano hapa nchini, TTCL Corporation lipo njiani kufanya mabadiliko ya vifurushi vyao.

Mabadiliko hayo yanategemewa kufanyika mabadiliko ya vifurushi vyao ndani ya siku 3 zijazo kuanzia sasa[emoji28][emoji28]
NB; Ukipita ofisin kwao mabango kama yote oooh fiber mlangoni kwako, kumbe vifaa vya kukufungia hiyo Fiber hakuna kabisa, mimi leo hii natimiza siku ya 37 wananiahidi wanakuja kunifungia lakini wapi?

Tujiandae kisaikolojia tu NyumbaniKumenoga[emoji13][emoji13][emoji13]
Kumbe ttcl bado ipo!
 
Hakuna watu wapuuzi kama TTCL yani sometimes na wish bora ofisi zao zilipuke waanze na moja.

Nimeanza kufatilia huduma ya copper since April nimepigwa kalenda, sikuchoka niliwatafuta tena na tena mpaka wakaja kufanya survey.

Survey yenyewe ikafanyiwa kihuni wao kwa wao wanabishana, mwingine anasema hili eneo copper zake zina loop holes tukifunga internet itakuwa ON&OFF

Mwingine anampinga mwenzake kuwa hiyo haiwezekani akimtaja mtu wa eneo langu kama mfano ambaye alifungiwa na kuwa haimsumbui.

Mwisho wakaniambia nichague fiber, fiber nikashindwa gharama zilikiwa kinanda lakini pia wakaniambia unaweza sikilizia maana tupo katika mchakato wa kupunguza cost za Fiber.

Baada ya mwezi kupita nilipigiwa simu na TTCL kuwa huduma ya Fiber ni bure kama hujaunganishwa na internet tunaweza kukuhudumia.

Ila huko mtaani at least mjikusanye muwe angalau 10 tuje kuwafanyia installation, nikasema hilo halina shida.

Mwisho nikaanza kuwatafuta tena, kila siku wanasema wanakuja lakini kimya. Nikajaribu kwenda hadi ofisini kwao wakanijazisha fomu upya lakini wapi, hawakuja.

Nimeenda ofisini kwao tena na tena yani mpaka nimeanza kuwajua wafanyakzi wa pale, na wao wakioniona tu wanasema "umekuja tena basi leo ndio mwisho lazima uhudumiwe"

Juzi nilipoona humu TTCL wameanzisha kiuzi chao nikawajibu vibaya, yani wanatuona siye watoto.

Ila wangesikia ni waziri fulani anataka huduma fulani wasingesema habari za survey wala kumchelewesha.
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wee jamaa nimecheka kweli
 
Back
Top Bottom