mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 621
- 433
Wana JF
Baada ya kuona matangazo ya Banjuka na Nduki ya TTCL Broadband Niliamua kujiingiza kama mwanachama mpya. Niliyoyakuta ni Wizi Mtupu! Ndani ya wiki nilitumia 10,000! kila nikiwapigia hamna msaada wala nini yaani customercare ya hovyo kabisa! Ninaposema wezi namaanisha maana kama unatangaza tofauti na unachotoa huo si ni ujambazi? NAOMBA TUME YA USHINDANI IWAFUATILIE HAWA MAJIZI!
Nikahamia ZANTEL uuwii kumbe wote watoto wa baba mmoja. Can u imagine unaingia kwenye website ya Zantel halafu hakuna imformations za 3G Moderm? Fikiria kununua bundle mpaka utumie simu ya mkononi!
KASHEHE YA MWISHO TAFUTA VOUCHER ZAO KAMA UTAPATA! kweli ukiona kampuni hazina wateja ni za kuokota!
R.I.P TTCL na ZANTEL!
Baada ya kuona matangazo ya Banjuka na Nduki ya TTCL Broadband Niliamua kujiingiza kama mwanachama mpya. Niliyoyakuta ni Wizi Mtupu! Ndani ya wiki nilitumia 10,000! kila nikiwapigia hamna msaada wala nini yaani customercare ya hovyo kabisa! Ninaposema wezi namaanisha maana kama unatangaza tofauti na unachotoa huo si ni ujambazi? NAOMBA TUME YA USHINDANI IWAFUATILIE HAWA MAJIZI!
Nikahamia ZANTEL uuwii kumbe wote watoto wa baba mmoja. Can u imagine unaingia kwenye website ya Zantel halafu hakuna imformations za 3G Moderm? Fikiria kununua bundle mpaka utumie simu ya mkononi!
KASHEHE YA MWISHO TAFUTA VOUCHER ZAO KAMA UTAPATA! kweli ukiona kampuni hazina wateja ni za kuokota!
R.I.P TTCL na ZANTEL!