Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Unakwama wapi ndugu yangu?Kumbe nilikuwa sijui mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakwama wapi ndugu yangu?Kumbe nilikuwa sijui mkuu
Kwani wewe ni shoga wa wapi ebu dadvua kidogo...sote njia yetu moja, na hakika kwa Mora wetu tutarejea, kumkosea heshima marehemu sio utamaduni wetu labda wale mashoga wa Brussels tu!
Mbona hujawahi kutuuliza kwanini hatuipendi tiibiisiii?Wanaoibeza TTCL sjui wanatumia kigezo kipi? Wazee wa muvi speed hiyo mnaweza ishi nayo.
View attachment 1758345
Alitaka kujua EDA yenu itaisha lini maana ni wajaneNi tarehe 28 April, unataka kwenda kufanya matambiko?
Mkuu kuna thread nimepitia leo nasikia Zantel wapo vizuri kdg kwa 1500 unapata 1.5GUnakwama wapi ndugu yangu?
Mkuu hilo la tibisii linajulikana after 5 minutes unaskia kishi.....cha aw....mu ya ngapi sjui....hata mimi inanikera mkuu.Mbona hujawahi kutuuliza kwanini hatuipendi tiibiisiii?
Mkuu kuna thread nimepitia leo nasikia Zantel wapo vizuri kdg kwa 1500 unapata 1.5G
Menu zake tafadhaliInatumiwa na nyinyi lumumba
Ukinunua bundle la 1 kupitia halopesa unapata 1024 GB kwa wiki ila speed yao ipo vizuri sanaMkuu kuna thread nimepitia leo nasikia Zantel wapo vizuri kdg kwa 1500 unapata 1.5G
UmeonaeeeeeeeeMkuu hilo la tibisii linajulikana after 5 minutes unaskia kishi.....cha aw....mu ya ngapi sjui....hata mimi inanikera mkuu.
Kuna dicteta mwingine wana wa chad wamemwaga ubongo mkuu, umeisikia hyo habari, madicteta wote wanaotesa watu sir God anapita nao kimya kimya,, vp lkn mkuu maisha kwa ujumla baada ya aliekuwa anakuweka mjini kufa ....sote njia yetu moja, na hakika kwa Mora wetu tutarejea, kumkosea heshima marehemu sio utamaduni wetu labda wale mashoga wa Brussels tu!
[emoji2959]Alitaka kujua EDA yenu itaisha lini maana ni wajane