Tuachane na id pamoja na majina binafsi tutaje a.k.a zetu

Tuachane na id pamoja na majina binafsi tutaje a.k.a zetu

Tuachane na majina ya id na tuachane na majina binafsi tuliyopewa na wazazi leo tutaje A.K.A zetu au "also known as" tunazotumia mtaani, yawezekana ni mtaani au nyumbani kwenu au hata sehemu nyingine unafahamika kwa jina hilo.

Mimi naanza AKA yangu ni killer yaani kipindi nakua hadi kufikia kaumri fulani hivi kitaani ilikuwa ukiniulizia kwa jina langu hunipati ila ukisema tu killer basi utapelekwa hadi nyumbani
Nabii na Mtume GENTAMYCINE
 
Niite mzee wakusema ukweli

au nadaganya ndugu zangu
 
kuna jamaa angu hapa anaitwa Mzee wa Pipe, siku mkewe akijua hili jina patachimbika!
 
Hahahahh hatari [emoji3][emoji3]
Ni Kwenye ule Uzi Mkuu kapiga picha ikulu Chamwino kavaa raba na tshirt ya blue
Naikumbukaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] nilicheka mimii[emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
A. K. A yangu me natumia kwenye mitandao mingine, kwahyo swez taja hapa.
 
Back
Top Bottom