Tuachane na id pamoja na majina binafsi tutaje a.k.a zetu

Nabii na Mtume GENTAMYCINE
 
Niite mzee wakusema ukweli

au nadaganya ndugu zangu
 
kuna jamaa angu hapa anaitwa Mzee wa Pipe, siku mkewe akijua hili jina patachimbika!
 
Hahahahh hatari [emoji3][emoji3]
Ni Kwenye ule Uzi Mkuu kapiga picha ikulu Chamwino kavaa raba na tshirt ya blue
Naikumbukaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] nilicheka mimii[emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
A. K. A yangu me natumia kwenye mitandao mingine, kwahyo swez taja hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ