Tuachane na maswali ya nyongeza Bungeni

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Katika kila kikao cha Bunge kuna muda wa maswali yanayotakiwa kujibiwa na Mawaziri au Manaibu Mawaziri wa Wizara mbalimbali na baadaye kama Mhe. Mbunge hakuridhika anaruhusiwa kuuliza swali au maswali ya nyongeza.

Binafsi majibu ya maswali ya nyongeza hayani tija na wajibu maswali aidha hawaelewi wanachojibu au wanawadanganya wauliza maswali.

Majibu yao yanakuwa tofauti kabisa na swali lililoulizwa.

Nashauri majibu ya maswali ya nyongeza ni kupoteza muda hivyo tujikite na kujibu maswali ya msingi yaliyofanyiwa utafiti.
 
Hawa jamaa huwa wanaandaliwa majibu na watalaam wao kazi yao ni kuchat na mademu. Over
 
Nipo natazama Bunge hapa Start,mambo hayaeleweki, speaker analalamika wabunge wanahama Hama viti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…